afrika

  1. L

    Ushirikiano wa China na Afrika wa “Ukanda Mmoja Njia Moja” wapaswa kulindwa sio kudhalilishwa

    Gazeti la Financial Times la Uingereza limetoa makala likilitilia mashaka Pendekezo la “Ukanda Mmoja, Njia Moja” BRI na kusema uwekezaji wa China katika sekta ya miundombinu barani Afrika “unakaribia kukauka”. Makala hiyo pia imemnukuu afisa mmoja wa Afrika Kusini akisema nchi za Afrika...
  2. L

    China kupunguza mkopo kwa Afrika si picha kamili ya ushirikiano kati ya pande mbili

    Utafiti mpya uliofanywa na “Pendekezo la Utafiti kati ya China na Afrika” CARI la Chuo Kikuu cha Johns Hopkins cha Marekani umeonesha kuwa mwaka 2019, mikopo iliyotolewa na China kwa Afrika ilipungua kwa theluthi moja, kitu ambacho kinaashiria kuwa China imepunguza kwa kiasi kikubwa mikopo yake...
  3. M

    CHADEMA inajitahi sana lakini inafeli sana. Sasa Afrika, Ulaya na duniani watu wanakishangaa hicho chama

    Wakati ndani ya nchi wanasema wameonewa na kuibiwa kura kwa kupata mbunge mmoja wa kuchagulia kutoka wabunge mia na kenda awamu iliyopita na pia mgombea urais Tundu Lissu akiambulia kura chini ya asilimia kumi ya kura zote za urais. Hata hivyo baada ya aliyekuwa Rais wa Tanzania kufariki hayati...
  4. J

    Makubaliano ya Umoja wa Afrika kuhusu ulinzi wa Data binafsi za watu

    Ibara ya 8 ya makubaliano hayo imeweka malengo ambayo Watanzania wangenufaika nayo kama #Serikali ingekuwa imetia saini Moja ya lengo ni: Kila #Taifa lazima lihakikishe linatengeneza sheria kwa ajili ya kuimarisha #Haki za msingi za binadamu, uhuru wa raia ikiwemo ulinzi wa taarifa zao na kutoa...
  5. Leslie Mbena

    Mchango wa Dkt. John Pombe Magufuli nchini Tanzania na Bara la Afrika kwa Ujumla

    MCHANGO WA DR. JOHN POMBE MAGUFULI NCHINI TANZANIA NA BARA LA AFRIKA KWA UJUMLA. Dr. John Pombe Magufuli aliyehudumu kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya Tano aliheshimika nchini Tanzania, Barani Afrika na Duniani kwa Ujumla kutokana na namna alivyosimama kidete kuhakikisha...
  6. Miss Zomboko

    Utafiti: Mabadiliko ya vimelea vyenye usugu dhidi ya dawa ndiyo chanzo cha ugonjwa wa Malaria kuendelea kuenea Afrika

    Watafiti leo Alhamisi wametoa ripoti kuhusu ushahidi wa kwanza wa kidaktari kwamba mabadiliko ya vimelea vyenye usugu dhidi ya dawa ndiyo chanzo cha ugonjwa wa Malaria kuendelea kuenea barani Afrika. Wataalamu wa dawa wamekuwa na wasiwasi kwa muda mrefu kuhusu kuibuka kwa tatozo la usugu dhidi...
  7. Kinuju

    Bomba la mafuta la Afrika Mashariki: Diplomasia ya uchumi ya urithi wa Hayati Magufuli na mapato ya Tsh 76.32bn kwa mwaka

    BOMBA LA MAFUTA LA AFRIKA MASHARIKI: DIPLOMASIA YA UCHUMI YA URITHI WA JPM NA MAPATO YA TSH 76.32bn KWA MWAKA Mnamo Septemba 27, 2020 Uganda na Tanzania ziliingia makubaliano kupitisha Bomba la Mafuta ya Afrika Mashariki kutokea Hoima (Uganda) hadi Bandari ya Tanga (Tanzania). Hii ni moja ya...
  8. L

    Uzinduzi wa mtandao wa 5G Afrika ni ishara ya uongozi wa China duniani kwenye enzi mpya

    Mwaka 2015, China ilitangaza kuwa itaongeza maendeleo ya dijitali kuwa sehemu ya miradi ya Ukanda Mmoja na njia moja. Hii ni njia moja ya kutosheleza mahitaji yanayoongezeka ya mtandao wa kasi ambao unategemewa na mamilioni ya biashara kila siku hasa kwenye nchi zinazoendelea. Tayari China...
  9. Replica

    Uganda: Rais Samia Suluhu ashiriki utiaji saini kati ya Serikali ya Uganda na Kampuni ya Mafuta ghafi ya Afrika Mashariki (EACOP)

    ======= Rais Samia Suluhu: Wote tunajua jinsi Rais Magufuli alivyounga mkono mradi huu hivyo kuahirisha zoezi hili ilikuwa katika heshima kutambua juhudi zake katika mradi huu. Mradi huu utatoa mapato kwa nchi zote, ajira za muda mfupi na kudumu na kujibu tatizo la ajira. Mradi huu utakuza...
  10. MR LINKO

    Mila na utamaduni: Tanzania wanakozikwa watu wakiwa wameketi hadi Cameroon wanakopiga matiti pasi, angalia tamaduni za ajabu Afrika

    Muacha mila ni mtumwa lakini kuna baadhi ya mila zinazoendelezwa Afrika ambazo ni nzuri na zinawafanya Waafrika kutambua urithi wao kitamaduni lakini nyingine ambazo zitakushangaza. Baadhi ya mila hizo zimetajwa kama dhalilishi au zinazokiuka haki za kimsingi za binadamu. Leo tunaangazia...
  11. M

    Je, ni Rais gani kati ya hawa anafaa Kuongoza Afrika na Wananchi watampenda na atakumbukwa nao milele?

    Rais A Mkali Mbishi Mnafiki Mkusanyaji mzuri wa Kodi Mwizi Mbinafsi Malaya ( Muhuni ) Rais B Mpole Mkarimu Muungwana Ana uwezo mdogo wa Akili Mwizi wa taratibu Anainua Vipato vya Wananchi Mpenda Ushauri na Mawazo Rais C Mshirikina Mcha Mungu Mnafiki Mkabila na Malaya Muuaji Mpenda Visasi...
  12. L

    Visiwa vya Chagos: Koloni la mwisho barani Afrika

    Chagos ni visiwa visivyojulikana sana ambavyo vipo katikati ya Bahari ya Hindi. Kwa miaka 150, vilikuwa sehemu ya nchi ya Mauritius iliyotawaliwa na Uingereza. Hata hivyo, miaka kadhaa kabla ya Mauritius kujipatia uhuru mwaka 1968, serikali ya Uingereza iliamua kuvitenganisha visiwa vya Chagos...
  13. Richard

    Umoja wa Afrika yasitisha uagizaji wa chanjo ya Astra Zeneca. Sasa kutumia chanjo ya Johnson & Johnson

    Umoja wa nchi za Afrika AU imesitisha mpango wa uagizaji wa dawa ya chanjo Astra Zeneca ambao ni kinga ya ugonjwa wa homa ya mafua wa COVID -19. Mpango huo wa AU ilikuwa ni kwa kiwanda cha Serum cha nchini India kutengeneza na kusambaza dawa hiyo ya kinga ya Astra Zeneca kwa nchi za Afrika...
  14. Last Seen

    Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amteua Mohamed Dewji (Mo) kuwa mshauri wake kwenye masuala ya Uwekezaji

    Rais wa Afrika kusini Cyril Ramaphosa amemteua Mohamed Dewji kuwa mshauri wake wa Masuala ya uwekezaji. Mohamed dewji 'MO' atashiriki vikao vyote vinavyohusiana na uwekezaji na atakuwa miongoni mwa washauri wa Rais Ramaphosa kwa kipindi Cha miaka mitatu. ---- Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika...
  15. Tony254

    Kenya yatoa misaada ya teknolojia kwa nchi 5 za Afrika

    Wanaosema kwamba Kenya inaomba omba chakula na kutegemea msaada kutoka nchi za ulaya. Tazameni hapa Kenya ikitoa msaada wa teknolojia. Tunapatia nchi 5 za Africa tablets 45,000 ili kuwasaidia kufanya census yao kidijitali. Isitoshe tutawafunza jinsi ya kufanya census kidijitali. Sisi hatutoi...
  16. Kipenzi Changu

    Kocha wa AS Vita: Tumefungwa na timu bora Afrika kwa sasa

    Baada ya kipigo cha 4-1 kocha Ibenge amewaambia wana habari kwamba hana la kusema anakiri amefungwa kihalali na timu bora Afrika kwa sasa. Nami nasema nitamlipa Simba Sc hizo goli 4 usiku wa leo kuanzia mida ya 4 hivi
  17. M

    Hatimaye Raia wa Liberia waukataa Upuuzi wa Rais wao Weah ambao ulitakwa pia Kuigwa na Wanasiasa Wengine wa Afrika

    Liberians rejected a referendum backed by President George Weah to curb the length of presidential terms — a vote that could have helped the former soccer star extend his stay in office Chanzo: Bloomberg Africa Nimeamini kuwa Mwenyezi Mungu ana namna yake ya Kuwaokoa Watu wake katika HATARI...
  18. Point less

    Ivi nikweli kwamba wazungu walijitengenezea mazingira ya anguko lao Afrika?

    Kwa mujibu wa vitabu na walimu mbali mbali ina sadikika kuwa hivyo Wewe kama mwana historia jadili kutuaminisha kwa hii maada hapo juu Kiswahili & kingereza 0 KARIBUNI
  19. L

    Utawala bora na nidhamu ya chama cha CPC ni mifano ya kuigwa na Afrika kukabili masikini na ufisadi

    Utawala bora na nidhamu ya chama cha CPC ni mifano ya kuigwa na Afrika kukabili maskini na ufisadi Kulingana na takwimu za benki ya dunia, mwaka 1960 China ilikuwa maskini kuliko baadhi ya nchi barani Afrika. Kwa mfano mwaka 1960, mgao wa pato la kitaifa kwaChina ulikuwa dola 89 tu, wakati DR...
  20. Victor Mlaki

    Afrika itachukua muda wa karne moja, miongo minne na miaka miwili kufikia usawa wa kijinsia

    Kulingana kasi ya ukuaji wa usawa wa kijinsia ya sasa kwa Afrika utafiti uliofanywa na "Global institute on the power parity in advancing women's equality in Afrika" kama ilivyonukuliwa na (Nanjala, 2020) East African, Afrika itachukua muda wa miaka mia na arobaini na mbili(142) kufikia usawa wa...
Back
Top Bottom