Neno "advance" ni neno la Kiingereza ambalo limekuwa sehemu ya msamiati wa maisha ya kila siku nchini Tanzania. Katika mitaa, maofisini, na mashuleni, neno hili linatumika katika muktadha mkuu wa aina tatu:
1. Kwenye Elimu (Kidato cha Tano na Sita)
Hili ndilo matumizi maarufu sana miongoni mwa vijana na wanafunzi. "Advance" inasimama badala ya Advanced Level Education (Elimu ya Sekondari ya Juu). Inamaanisha Kidato cha Tano (Form 5) na Kidato cha Sita (Form 6).
Mifano mtaani:"Mdogo wangu amemaliza O-level (Form 4), sasa hivi anasoma advance." au "Shule yetu haina advance, inaishia form four tu."
2. Kwenye Ajira na Mishahara (Salary Advance)
Maofisini au kwenye vibarua, neno hili hutumika kumaanisha malipo ya mshahara wa mwezi ambayo mfanyakazi anaomba kulipwa kabla ya mwezi kuisha (mara nyingi katikati ya mwezi) kutokana na shida za kifedha. Pesa hii itakatwa kwenye mshahara wake kamili mwisho wa mwezi.
Mifano maofisini:"Mwezi huu mambo ni magumu, inabidi niende kwa bosi nikaombe advance."
3. Kwenye Kodi na Biashara (Malipo ya Awali / Deposit)
Katika masuala ya kupangisha nyumba au kufanya biashara, "advance" inamaanisha malipo ya mbele unayoyatoa kabla ya kupatiwa huduma kamili au ili kushikilia kitu (kama dhamana).
Kodi ya Nyumba: Wenye nyumba wengi Tanzania hawapokei kodi ya mwezi mmoja mmoja. "Nyumba hii kodi ni laki mbili kwa mwezi, lakini mwenye nyumba anataka advance ya miezi sita." (Anataka ulipie miezi sita kwa mkupuo kabla ya kuingia).
Kwenye Fundi au Huduma:"Fundi amesema nimpe advance ya elfu hamsini ili aanze kazi, kiasi kilichobaki nitampa akimaliza."
It is a pity kuwa wazee hawa walikuwa na mahali pa kupata advance ya pensheni yao sasa mmeiondoa na kubakia salary advance. Kwanini salary advance imebaki na kuondoa pensheni advance? kwanini mmeiondoa tena bila taarifa.
Watatafuta benki ambayo itawarudisha kwenye service hiyo.
Kuna dogo niliona nimsaidie kiutani nikamfanyia application za diploma.
Sasa alichaguliwa HGK shule moja moshi ila kule kwenye chuo pia amepata diploma civil engineering.
Hapa anatakiwa afanye maamuzi yatakayoadhiri maisha yake yote..
Juzi anasema computer science Mimi naona akachemshe kichwa...
Habari ndg zangu, kuna kijana mmoja alikuwa anaishi na mama yake Jijini Dar salaam,baba yake alifariki muda mrefu,mwaka jana kabla ya kufanya mitihani ya kidato cha nne mama yake nae alifariki, kijana huyo Mungu amemsaidia amefaulu na amepangiwa Temeke sekondari, kwa bahati mbaya shule ile ni ya...
Nina ndugu yangu kapata matokeo haya HIST-D GEO-C BIO-C ENGL-D CIV-C CHEM-C LITE-D KISW-C MATH-D
Amepata Division III Point 23 hajasomea PHYSICS na amepangiwa chuo cha Human Resources Management hataki kwenda Chuo Je, aende Advance kwa Combination gani?
Msaada jamani.
Habari,
Nimehitimu mwaka jana nimefaulu masomo yote na pia na division 1 lakini nilikuwa na ndoto za kusomea mambo ya technogy ikiwemo computer science
Mpaka sasa nina utata niende Advance au chuoni. Nimejaribu kuchukua ushauri wa watu mbalimbali kuna ambao wananishauri niende chuo nikasome...
Habari Wakuu,
Katika Jukwaa letu la Lugha nimeweka huu uzi tusaidiane kwenye kujulishana maneno ya Kiingera ya kutumia ili walau mtu unapoandika Kiingereza usionekana kama upo kawaida sawa. Naanza na haya maneno machache;
Advanced English = Basic English
Alleviate = Ease
Ameliorate = Improve...
Aisee kuna huyu ndugu yangu mtoto wa mjomba alimaliza form four mwaka jana sasa alipata division four.
Ila ana C mbili na D tatu, nipo naulizia kama zinaweza kumtosha kwenda form five hata ya private, nataka kujitolea niwekeze kwake hata aweze kusoma kama ataweza kwenda form five.
Kingine kama...
Timu ya Taifa ya Wanawake ya Morroco ime advance kutoka group stage ya FIFAWWC inayoendelea huko Austarlia na New Zealand na kuingia kwenye group of 16, Wapewe Maua yao.
Wakati ikitangazwa hivyo, wanahabari walidai Morroco ni Nchi ya Kwanza kutoka [Arab Nation] kufanya hivyo.
Kwa kuzingatia...
Siyo tunafungwa Goli 10 au 17 na Wydad Casablanca FC Siku ya Jumamosi tarehe 29 April, 2023 huko Kwao nchini Morocco halafu tunaanza Kumchukia na Kumlaumu Kipa Wetu Kinda ambaye nimembatiza rasmi Jina la Juma Kaseja Mpya.
Sijui nitaficha wapi Sura yangu mie.
Jf member wote nawatakia kheri ya sikukuuu ya pasaka karibu nyumbani ila ukija uje na nauli yako na hela ya soda
Nawatakia watu wangu wa nguvu kheri na furaha tele
Punguani Gily mrembo Lenie mchumba wangu dunia yangu Dahan shemeji yangu Analyse mzee wa ofa Mzee wa kupambani mwizi mzoefu alie...
Salaam wakuu,
Natumai nyinyi ni wazima wa afya na wale wenye changamoto mbalimbali za kiafya basi Mungu awape ponyo.
Niko katika utafiti wa shule gani ya advance ni nzuri kwa michepuo ya sayansi ambayo ni girls school.
Mapendeko yangu ni kwa mikoa isiyo ya baridi kali mfano dodoma...
Kichwa cha habari kinajieleza, inafaa mnapokata umeme mtoe taarifa kwa wakazi wa maeneo husika ili tutambue katizo hilo ni official, msipotoa taarifa mnakosa ushirikiano wa wananchi kuweka attention kwenye transforma zenu ambapo mara nyingi wengi huwa tunadhani mmekata kwaajili ya matengenezo...
Sasa unaweza kuvuta pesa kutoka kwenye mshshsra wako au pensheni yako mpaka limit waliyoweka.
Huduma hiyo imeanzishwa two days back. Je kuna madhara yoyote kutumia huduma hiyo? Haya mambo ya technology yana siri nyingi!
Mfano haya makampuni ya simu yanatuibia sana kwa kula bundle eti kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.