Kufuatia sakata la kutekwa MO labda niwafahishe kuhusu matumizi ya CCTV kwa wafanyabiashara wa hapa kwetu.
Wafanyabiashara wa TZ kamera wanazitumia kuangalia movement ya wateja. Kwa hotels wanaangalia nani kaingia chumba kipi ili asipoteze mapato, yaani akijua jana waliingia watu 30 asiletewe...
Natafuta muuzaji wa jumla wa zabibu kavu pamoja na almond (ulozi) aliye Zanzibar. kwa sasa ninapata kwa mtu anayenunua toka huko sasa nataka nimtoe mtu wa kati niagizie moja kwa moja. PM kama unamfahamu mtu au wewe unafanya kazi hiyo
Nina kifusi cha nyumba iliyobomolewa nakitoa bure, yaani Free. No strings attached. We njoo na gari na wapakiaji chukua tani yako. Kinajaza lori kubwa nne au tano.
Kiko tabata madonna kiwanja cha pili kabla ya hospitali ya madonna kama unatokea mjini. Pamezungushiwa uzio wa mabati. Onana na...
Nna bajaj mbili mbovu zimelala bila kutumika kwa muda mrefu. Zipo maeneo ya Tabata Dar es salaam
Anayehitaji kama skrepa au vyovyote vile ani PM nimwelekeze zilipo akachukue. Ni bure kabisa, halipi hata senti moja
Picha zake hap chini
Ofisini tuna wifi kwa ajili ya wateja, iko password protected lakini akija mteja tunampa. Tatizo kuna vijana wawili hivi wana vilaptop vyao ngambo ya barabara wanapewa password na mmojawapo wa staff hapa ofisini. kazi yao ni kudownload movies na nyimbo na kutia nyimbo kwenye simu. Wanafanya wifi...
Kenya wildlife services has granted a right of way to kenya railways to develop the std gauge railway through the parks (Daily nation kenya 15 October 2014)
Ya Serengeti wanaipigia kelele!
Jengo lililokua hoteli ya Jambo Inn linabomolewa kwa sasa. Hakuja wekwa uzio wowote utakaozuia vipande vya mawe na vumbi kuingia barabarani. Wameweka kamba tu, hakuna mabati wala nini!
Viongozi wa manispaa ya Ilala ambayo iko mita chache toka hapo wafanye kazi yao sio kusubiri mpaka aumie mtu
Inavyoelekea katiba ya tanzania itakamilika kabla ya ya tanganyika. Si ilibidi katiba ya tanganyika na zanzibar ziwe na vipengele vya kuukubali muungano kwanza halafu muungano ndio ufuate.? Au?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.