Rolandi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 920
- 491
Mmmh mashaka yamenijaa cha bure mjini hapa?
Mawasiliano?
Mkuu inawezekana usihofu,hahahahah
Wapo watu wana mpaka magari mabovu wanatafuta pa kuyatupa ila inakuwa gharama kuyabeba,sasa hapo jamaa anataka ku clear mazingira yake yawe safi kuliko kufuga Tandu na mbu.
We nenda ukiona kuna charges lete mrejesho tumchane humu
Nna bajaj mbili mbovu zimelala bila kutumika kwa muda mrefu. Zipo maeneo ya Tabata Dar es salaam
Anayehitaji kama skrepa au vyovyote vile ani PM nimwelekeze zilipo akachukue. Ni bure kabisa, halipi hata senti moja
Picha zake hap chini
View attachment 295599
View attachment 295599
Poa mkuu. Wasioamini kuna vya bure waache wapige kelele. Samahani sikueeza kukujibu on time
ikifika zamu ya kutoa MASABURI nijulishe