Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeupangia tarehe mchezo namba 180 wa Ligi Kuu msimu wa 2023/2024 kati ya Club ya Yanga na Club ya Simba maarufu kama ‘Kariakoo Derby’, baada ya Club hizo kuondolewa kwenye michuano ya CAF Champions League.
“Mchezo huo ambao haukupangiwa tarehe kwenye ratiba...
Nauza gari tajwa hapo juu. Gari bado ipo vizuri sana maana haijatumika muda mwingi ipo kama ilivyo ilivyotoka japani.
Bei mil 24.8 maongezi kidogo yapo pia natoa laki5 kwa dalali atakayeleta mteja.
Karibuni sana
Habari.
Kuna ndugu ameniomba nimpostie tangazo lake.
Product tajwa hapo juu inauzwa..
Vitamax double shot.
Ni product kutoka Malaysia imetengenezwa kwa asali na mizizi, Haina kemikali hata kidogo.
Asali hii inasaidi kabsa kuondoa tatizo la nguvu za kiume ni nzuri pia hata kwa wenye kisukari...
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Nahitaji wachimbaji wa visima virefu.
Site: Mwavi Bagamoyo...kijiji kimoja kabla hujafika kiwangwa ukitokea Dar
Urefu: 140m-150m
Ofa: Milioni 5 Cash
Note: mchimbaji lazima anihakikishe maji baridi yasio na chumvi hata chembe lengo ni kupata maji ya...
Habari zenu wandugu,
Direct to the point. Mimi ni mgonjwa wa heartburn/ gerd kwa jina lingine ambayo imeshakuwa sugu. Kiukweli nasumbuliwa sana ni muda sasa wa miaka takriban 6 hivi nimejaribu tiba za aina tofauti hospitali na kienyeji lakini tatizo liko palepale.
Mwaka 2015 nilienda regency...
Wadau wa nguo popote mlipo nahitaji nguo hizi kwa bei ya jumla. Kama unazo au unafahamu wapi naweza pata nitashukuru ila zile original cotton angalau 90%, kama una fake usihangaike sitanunua, je kwa Dar wapi naweza pata kwa bei nzuri? Asanteni.
Kwa wale wa penzi wa oldies pata nokia e72 original but refurbished, ni imported haijatumika bongo na vifaa vyajke vyote including user manual, charger, ear phones, usb cable etc.
Kama unaipenda nicheki bei ni 180k tu.
Ina 3g pia
Heshima kwenu wandugu,
Thadhari: Sina chuki binafsi
Kwa kuanzia tu mkoa wote wa kilimanjaro ni mkoa ambao kweli maendelea yapo, wilaya zote zimeunganishwa na miundombinu yote muhimu, maji umeme, barabara n.k
Tabia yao mbaya ni tabia ya kuomba lift hasa kwenye private cars, yaani si kwamba...
Katika hili la mzazi wake wa kiume mimi binafsi limenigusa hasa kwa imani yangu ya dini. Siwezi kuhukumu moja kwa moja kwa maana sijui chanzo cha ugomvi wao wala status yao kwa sasa na pia MIMI SI HAKIMU, lakini nina haki ya kutoa maoni yangu hasa kumsaidia pia diamond ajitambue.
Katika hali ya...
Kama una plot kuanzia nusu eka vikiandu hadi dundani karibu na barabara na umeme na pia gari kubwa ziwe zinafika kwenye kiwanja. Kama unacho weka ukubwa na bei
Mwanaume ndevu, kidevu bulb tupa kule. Mimi nina ndevu nyingi tatizo ni kipilipili alafu hazina mvuto.
Kama kuna mtu anauza dawa ya kuzifanya ndevu zangu ziwe kama za rick Ross aje PM.
Asantenii
Wakuu, hivi kuna utaratibu wowote wa kuanzisha ranch kisheria? Na vp vitu muhimu vinahitajika kwa ajili ya kuanzisha ranch binafsi, je kuna changamoto zozote katika huo mradi?
Ushauri wenu muhimu sana
Kwa wakazi wa mbagala na maeneo ya jirani karibu mpate huduma ya barbershop, ni ya ukweli na ya kijanja sana kwa mbagala yote. Saluni ipo njia kuu ya kuelekea kongowe, ukitoka stand ya rangi 3 kwa magari yanayoelekea kongowe na charambe ni kama mita 50 au 60. Karibuni sanaa
unaweza mtafuta...
Amini usiamini, kwa kuwa Magufuli anapenda wachapa kazi basi Muhongo ananafasi kubwa sana ya kuwa waziri katika serikali ya Magufuli ijayo, kwa hiyo Bwana Mengi andaa povu tu!
Gari tajwa hapo juu nahitajika iwe number dd..au haijawahi tumika Bongo. Iwe truck, cc isizidi 1500, mwaka kuanzia 1990, bajeti milion 8. kama unayo nicheki 0763364459
Asanteni
Wadau,
Nauza kiwanja changu maeneo tajwa hapo juu, bei rahisi ya shilingi milioni 7.5, ukubwa wa kiwanja ni sqm 800(20*40) maeneo yamejengeka sana. Umeme na maji vipo.
Karibuni sana
0763364459
Nimekuwa nikishuhudia maelezo "instructions" za ujanja ujanja zitolewazo na wahudu wa ndege eti sijui ndege ikitua kwa dhararu boya lipo chini ya kiti chako puliza hivi na vile blah blah kibao, je ni kweli zinasaidia au?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.