Nokla
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 3,167
- 1,708
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Nahitaji wachimbaji wa visima virefu.
Site: Mwavi Bagamoyo...kijiji kimoja kabla hujafika kiwangwa ukitokea Dar
Urefu: 140m-150m
Ofa: Milioni 5 Cash
Note: mchimbaji lazima anihakikishe maji baridi yasio na chumvi hata chembe lengo ni kupata maji ya kumwagilia kwa ajili ya kilimo.
Karibuni
Nahitaji wachimbaji wa visima virefu.
Site: Mwavi Bagamoyo...kijiji kimoja kabla hujafika kiwangwa ukitokea Dar
Urefu: 140m-150m
Ofa: Milioni 5 Cash
Note: mchimbaji lazima anihakikishe maji baridi yasio na chumvi hata chembe lengo ni kupata maji ya kumwagilia kwa ajili ya kilimo.
Karibuni