Naomba ushauri wa tiba ya Heartburn/Gerd sugu

Nokla

JF-Expert Member
Aug 12, 2012
3,169
1,711
Habari zenu wandugu,

Direct to the point. Mimi ni mgonjwa wa heartburn/ gerd kwa jina lingine ambayo imeshakuwa sugu. Kiukweli nasumbuliwa sana ni muda sasa wa miaka takriban 6 hivi nimejaribu tiba za aina tofauti hospitali na kienyeji lakini tatizo liko palepale.

Mwaka 2015 nilienda regency pale wakanipima kipimo kina OGD wakadai kwamba mishipa ya esophagus imelegea, na kunianzishia dozi ya miezi 3 ambapo baada ya kumaliza dozi tu nilikaa kama mwaka hivi hali ikaanza kurudi tena.

Nimejaribu kufuatilia ratiba za vyakula, vinywaji muda wa kula kulala etc lakini hali inazidi kuwa mbaya. Kwa sasa ni shida zaidi maana muda wote mimi mdogo wangu mchungu tu kama nimekunywa acid, meno yanasagika tu mdomoni bila kuuma, nina gesi nyingi sana tumboni muda wote mimi najamba tu iwe nimekula au sijala ni kujamba haiwezi pita dakika 10 nisijambe.

Kooni kuna kama ute mzito ambao mara nyingi lazima niteme hii hali imepelekea sauti yangu kuwa na mkwaruzo mzito. Yaani siwezi kuongea dakika 3 lazima nikwaruze koo ili liwe sawa au niteme ute mzito mdomoni.

Sasa naombeni mwenye kujua hospital nzuri inayofanya utafiti zaidi kwenye mfumo wa chakula na koo na esophagus ili nikafanyiwe vipimo nijue shida ni nini hasa? Kiukweli sihitaji mtu anipe dawa kwanza maana hospitali hizi ukienda wananipa anti acid kiukweli nimekunywa hadi yamekuwa kama maji sihitaji tena bali nahitaji kwanza nipate kujua tatizo ni nini na hali hii inatibikaje?

Natanguliza shukrani
 
Pole sana
Habari zenu wandugu,

Direct to the point. Mimi ni mgonjwa wa heartburn/ gerd kwa jina lingine ambayo imeshakuwa sugu. Kiukweli nasumbuliwa sana ni muda sasa wa miaka takriban 6 hivi nimejaribu tiba za aina tofauti hospitali na kienyeji lakini tatizo liko palepale.

Mwaka 2015 nilienda regency pale wakanipima kipimo kina OGD wakadai kwamba mishipa ya esophagus imelegea, na kunianzishia dozi ya miezi 3 ambapo baada ya kumaliza dozi tu nilikaa kama mwaka hivi hali ikaanza kurudi tena.

Nimejaribu kufuatilia ratiba za vyakula, vinywaji muda wa kula kulala etc lakini hali inazidi kuwa mbaya. Kwa sasa ni shida zaidi maana muda wote mimi mdogo wangu mchungu tu kama nimekunywa acid, meno yanasagika tu mdomoni bila kuuma, nina gesi nyingi sana tumboni muda wote mimi najamba tu iwe nimekula au sijala ni kujamba haiwezi pita dakika 10 nisijambe.

Kooni kuna kama ute mzito ambao mara nyingi lazima niteme hii hali imepelekea sauti yangu kuwa na mkwaruzo mzito. Yaani siwezi kuongea dakika 3 lazima nikwaruze koo ili liwe sawa au niteme ute mzito mdomoni.

Sasa naombeni mwenye kujua hospital nzuri inayofanya utafiti zaidi kwenye mfumo wa chakula na koo na esophagus ili nikafanyiwe vipimo nijue shida ni nini hasa? Kiukweli sihitaji mtu anipe dawa kwanza maana hospitali hizi ukienda wananipa anti acid kiukweli nimekunywa hadi yamekuwa kama maji sihitaji tena bali nahitaji kwanza nipate kujua tatizo ni nini na hali hii inatibikaje?

Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aise tumia magadi soda au chapa maandazi kwa kizingu sodium bicarbonate tumia kijiko cha chai kny maji ya uvuguvugu kny kikombe tumia mara tatu kwa siku lkn ni vyema utumie asubuhi na mda ule wa kulala Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aise tumia magadi soda au chapa maandazi kwa kizingu sodium bicarbonate tumia kijiko cha chai kny maji ya uvuguvugu kny kikombe tumia mara tatu kwa siku lkn ni vyema utumie asubuhi na mda ule wa kulala Asante

Sent using Jamii Forums mobile app

Sawa ndugu lakni nilipendelea zaidi nipate sehemu ya vipimo kwanza ili nione tatzo ni kubwa kiasi gani maana madawa nimetumia sana ingawa sijakata tamaa.
Shukrani
 
ungesema uko location gani, ingesaidia kukudirect kwa daktari alie karibu na ulipo?

Ila kama uko nyanda za juu kusini, mtafute dr. mabula ... ni daktari wa moyo.. lakini alishawahi msaidia ndugu yangu mwenye tatizo linaloelekeana na lako... japo yeye haikuwa heart burn, na alikuwa amezunguka sana bila mafanikio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ungesema uko location gani, ingesaidia kukudirect kwa daktari alie karibu na ulipo?

Ila kama uko nyanda za juu kusini, mtafute dr. mabula ... ni daktari wa moyo.. lakini alishawahi msaidia ndugu yangu mwenye tatizo linaloelekeana na lako... japo yeye haikuwa heart burn, na alikuwa amezunguka sana bila mafanikio

Sent using Jamii Forums mobile app
yeye anapatikana mbeya mjini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wakati unaendelea kutafuta mtaalamu, unaweza tafuta dawa inaitwa UNIENZYME, ukawa unatumia kila ukila ama ukiona hali ya tumbo inaharibika,
Nenda kwene maduka ya jumla ya dawa, nunua hata box mbili tatu ukae nazo... itakupunguzia gharama, price yake 10,000 - 15000 kwa box lenye vidonge 100, depend na mahala ulipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu kama una sauti ya kukwaruza ni furss hiyo, fungua kanisa kua pastor!

Back to the proble.: Ukiona heartbun inakubana nunua bablish/big g tafuna inasaidoa kurelief.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ungesema uko location gani, ingesaidia kukudirect kwa daktari alie karibu na ulipo?

Ila kama uko nyanda za juu kusini, mtafute dr. mabula ... ni daktari wa moyo.. lakini alishawahi msaidia ndugu yangu mwenye tatizo linaloelekeana na lako... japo yeye haikuwa heart burn, na alikuwa amezunguka sana bila mafanikio

Sent using Jamii Forums mobile app

Shukran ndg, bahati mbaya nipo kanda ya kaskazini ingawa napatikana pia dar es salaam
 
mkuu kama una sauti ya kukwaruza ni furss hiyo, fungua kanisa kua pastor!

Back to the proble.: Ukiona heartbun inakubana nunua bablish/big g tafuna inasaidoa kurelief.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahah sawa, ingawa siwezi kufungua kanisa maana mimi c wa imani hiyo.
Kuhusu bg G zenyewe zina sukari mm nikila kitu cha sukari ndio kinanisababisha nakuwa na mate mazito kama mlenda unatoka huko kwenye koo, yaani hata nikipiga mswaki na dawa ya meno hiyo hali inanitokea kiasi kwamba lazima nifanye kama najitapisha ndio nikae sawa. Kwahiyo big G itaniongea zatatizo.
 
Mkuu pole sana,ninesumbka sana na hilo tatizo bati usipobadilisha eating style itakusumbua sana,pia acha kuwa na mawazo na hasira pia chuki,mwisho Mimi nilitumia mlonge kwa mwezi mzima na sasa Niko free sana tumbo halijai gesi wala madonda ya tumbo hainisumbui sana ,naweza kaa hadi mwezi bila kuhisi dalili za madonda ,kikubwa acha kutumia industrial drinks

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumia haluli kwanza..
siku huendi kazini..nunua ule mapemaaa...
Baada ya hapo.
anza dose ya glasi mbili za maji ya vuguvugu yenye kuelekea umoto flan...
kunywa glas mbili usiku kabla ya kulala na asubuhi dk 40 kabla ya kula!
Inakoroga tumbo sn mwanzoni vumilia...baadae unazoea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu,ungejaribu pia kutumia Cabbage katika kila mlo,isichemshwe sana au utengeneze juice yake kutwa mara tatu...
 
Back
Top Bottom