Wakuu nina mdogo wangu anasoma chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) ,mambo aliyonileza kwanza yalinisisimua..SIKUAMINI!
Anasoma Computer Science(BSC) ila kero zilizopo hapo kutokana na ufisadi wa uongozi wa chuo hicho sidhani kama ni nia nzuri kwa maendeleo ya masomo ya vijana wetu hasa katika...
Kuna Wasanii nimekaa chini na kufikiri labda wanakosa Management nzuri ndio maana labda hawa'shine sasa. Ila ni Wazuri kiukweli,wanaweza ,wanajua nk.
Wasanii wa Bongo wengi bila Management nzuri kusurvive ni kazi na sio Tanzania tu na hata huko duniani. Bila kuwa na Record deal nzuri na...
Niliwahi kusikia hii kesi, But sijawahi kusikia kama huyu Binti wa Liyumba alifungwa au hata Liyumba.
JE, ilizimwa , inaendelea, iliishaje, Mahakama ipi ilihusika, watuhumiwa Wengine ?? nk.
MADAWA yalikuwa na Thamani Billions 3++.
Tuambiane.
Kwanza nasikitika kwa Team yetu pendwa ya Taifa Stars kukatishwa Rasmi Matumaini ya kwenda WORLD CUP mwaka 2014 na timu ya IVORY COAST. Ni hudhuni kweli.
Katika kipindi hichi ambacho Watanzania tulikuwa na MORALE isiyo na Mfano. It was a Great Moment.
Kwanza nianze kusema,TANZANIA tunakosa...
Nasikiliza Radio DIAMOND,anaongea kuhusu kushindwa kuwekwa katika Categories zingine amabazo yeye alidhani anastahili kuwekwa,Mfano VIDEO BORA YA MWAKA. so anadhani kama hakuwekwa huko bora wasingemuweka katika categories zingine.
Ni kweli BASATA wamekuwa wakilalamikiwa kuhusu Urasimu wa tuzo...
Binafsi napendezwa na UZALENDO wa ZZK katika TAIFA STARS amekuwa na morale ya aina yake katika Timu yetu!!Nakiri kupendezwa nalo,Amekuwa Mmoja wa WANAHARAKATI wa kutetea HAKIMILIKI za Wasanii kupitia Ringtones yaani kupitia Mrabaha wa #RTB na kwingineko. This guy amejipambanua VILIVYO katika...
Jana nilikuwa Natweet na ndugu yangu Chahali,Kuhusu Ubalozi wa Tanzania RSA,na kuniambia Urasimu wa ubalozi huo sikuamini! Na Ubalozi unasema haumjui Msanii NGWAIR(jana)!!
LEO, Unashindwa hata kusaidia taratibu za kumsafirisha!!
Msanii kama huyu 4MIL Ubalozi unashindwa kutoa!! Mpaka watu...
Kwa wale,wapenzi wa muziki wa ukweli,Real Music watakuwa wanamfahamu Nguli huyu wa Rapper. Hasa wale Vijana wa 1990'S,the boy Made it world to be around kwa hits kalii.
Though Modern hiphop imeshika KASI sana miaka hii,na Jamaa ni Real so Ngoma anatoa NADRAA sana.
Shows zake ni kuanzia...
​Nadhani imefika mahala CHADEMA ikatumia njia nyigine kufikia watu..Walianza na Choper,na walifanikiwa sana katika hili mwaka 2005,2010 na hata 2015 itazidi kuwasaidia,na hasa baada ya sasa kumiliki Choper NNE!
Katika SIASA za Afrika ambapo JAMII kubwa ni UNEDUCATED kufikia watu wengi na...
Wana JF nimekuja hapa tena baada kusikitishwa na Jinsi Nyerere na Ukiachilia mbali wailomtangulia wanavyobezwa katika Majukwaa ya 'Kisiasa' ya Serikali hii katika kuzindua Miradi ya TAIFA ! Iwe katika Barabara,Hospitali au pengine pale! Ni MISIFAAAAA tuuuuuu! kana kwamba R.I.P Nyerere hakufanya...
Niko na Hp NoteBook nimeitumia kidogo baada ya Ku-upgrade,iko poa sana bei laki5 FEAUTURES!AMD C-50 processor,2gb RAM,2ghz250 gb HD,WEBcam,CARD Reader n0-0764920175
Kwanza nianze kusema mimi ni NAM person..sifungumani na Upande wowote Hasa katika Maslahi na matakwa ya wananchi,,im free opened MIND! Ndo maana naweza kusema kuwa CCM sasa kuna baadhi ya Mawaziri wanafanya Vizuri mfano,Kagasheki na Mwakyembe!
Si hata vibaya CDM wakawa wanawapongeza Mawaziri...
ZINAKUJA NJIANI,ziko nyingi..specificationz zake hizi hapa
GENERAL
2G Network
GSM 850 / 900 / 1800 / 1900
3G Network
HSDPA 850 / 1900
BODY
Dimensions
114 x 58 x 15 mm
Weight
150 g
Keyboard
QWERTY
DISPLAY
Type
AMOLED resistive touchscreen, 256K colors
Size
240 x 400 pixels...
Wakuu nimekuwa nikifuatilia mtiririko wa huyu jamaa ,na siku hadi siku anzidi kuonesha Kile kitu ambacho hakijafanywa miaka mini cheki hii ya KARIBUNI.
NAIBU Waziri wa Nishati na Madini,Stephen Masele ameiamuru kampuni ya TanzaniteOne kuacha kumwaga maji kwenye migodi ya wachimbaji wadogo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.