theHAVARD_product
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 297
- 211
Wakuu nina mdogo wangu anasoma chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) ,mambo aliyonileza kwanza yalinisisimua..SIKUAMINI!
Anasoma Computer Science(BSC) ila kero zilizopo hapo kutokana na ufisadi wa uongozi wa chuo hicho sidhani kama ni nia nzuri kwa maendeleo ya masomo ya vijana wetu hasa katika kipindi hiki cha utandawazi.
Haya ni baadhi tu ya mambo ya ufisadi yanayoendelea chuoni hapo:
1) Hakuna Free Internet services (Wireless) chuoni hapo japokuwa Wanafunzi wa Masomo ya Computer wanalipishwa zaidi ya wengine kwa ajili tu ya huduma hiyo.
Hili linashangaza kwa chuo kutokuwa na Wireless kwa wanafunzi kupata masomo Online.
2) Computer Labs ,computer ni chache na asilima 50% ya computer ni mbovu!!
3)Wanafunzi kulazimishwa kulipia elfu 50 kujiunga na mfuko wa Taifa wa Bima hata kama hawataki.
na Mengineyo....
Anasoma Computer Science(BSC) ila kero zilizopo hapo kutokana na ufisadi wa uongozi wa chuo hicho sidhani kama ni nia nzuri kwa maendeleo ya masomo ya vijana wetu hasa katika kipindi hiki cha utandawazi.
Haya ni baadhi tu ya mambo ya ufisadi yanayoendelea chuoni hapo:
1) Hakuna Free Internet services (Wireless) chuoni hapo japokuwa Wanafunzi wa Masomo ya Computer wanalipishwa zaidi ya wengine kwa ajili tu ya huduma hiyo.
Hili linashangaza kwa chuo kutokuwa na Wireless kwa wanafunzi kupata masomo Online.
2) Computer Labs ,computer ni chache na asilima 50% ya computer ni mbovu!!
3)Wanafunzi kulazimishwa kulipia elfu 50 kujiunga na mfuko wa Taifa wa Bima hata kama hawataki.
na Mengineyo....