theHAVARD_product
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 289
- 191
​Nadhani imefika mahala CHADEMA ikatumia njia nyigine kufikia watu..Walianza na Choper,na walifanikiwa sana katika hili mwaka 2005,2010 na hata 2015 itazidi kuwasaidia,na hasa baada ya sasa kumiliki Choper NNE!
Katika SIASA za Afrika ambapo JAMII kubwa ni UNEDUCATED kufikia watu wengi na kwa uzuri zaidi yahitaji UBUNIFU wa hali ya juu.
Kuna wananchi bado wako 50/50 Wameichoka CCM na bado hawaamini UPINZANI utaleta ukombozi/mapinduzi ya kimaendeleo katika nchi hii! Unaongelea kuhusu watu kunufaika na MADINI yao,ila watu hao hawajui kunufaika na madini kupoje!! kadhalika,Unaongelea kuhusu watu kunufaika na GESI yao,ila watu hao hawajui kunufaika na gesi kupoje!!
Nazungumzi jamii za chini kabisa,
1)Unaongelea kuhusu stand ya VUMBI na Wanafunzi kusomea Chini GEITA na Kama watu wanaona PICHA kwenye projector HAMASA inazidi kuongezeka zaidi!
2)Unazungumzia kuhusu AMBULANCE vibajaji ambavyo vimekufa (HAZIFANYI KAZI) ukiwa na picha Unaeleweka maradufu!
3)Unazungumzia kuhusu MADAWATI na MADARASA yaliyobomoka kutokana na UFISADI unaeleweka zaidi.
4)Unazungumzia kuhusu UBOVU wa BARABARA unaotokana UFISADI unaeleweka zaidi.
5)Unazungumzia POWERTILER feki zinavyotesa wananchi. unaeleweka vizuri mno.
JE PROJECTORS ZITATUMIKAJE?
kama mkutano unaanza saa 8 mpaka saa12,ukipata nusu /saa zima mwisho wa mkutano kuonesha watu mambo yanayojiri KUTOKANA na CCM si mbaya.. Wataelimika na kujionea zaidi. Kuna watu hawafuatilii hata vyombo vya Habari!
Nadhani,majuzi tu Mbunge wa Musoma mjini(mh.Nyerere) ametoa seti za Tv sokoni ili watu wafuatilie yanayojiri katika taarifa za habari.Watu wako bize zaidi katika kutafuta Mkate,na hili linawanyima hata fursa ya kufuatilia mambo ya nchi yao. Na hili ni janga,Janga kabisa.
kuna watu waliwahi kushauri kuhusu kuwepo CHADEMATv,hii ni silaha kubwa sana,inahitajika ASAP! Ukiianza kufuatilia tangu mtirirko wa Mauaji ya Morogoro,Iringa na hata kipindi kile Arusha nasita kuelewa kwanini haipo!
Kama Mmeshindwa kuhusu CHADEMATv jaribuni na hichi Basi.kinachotakiwa ni mtirirko wa Documentaries zinazoelezea hali halisi ya Maisha ya WaTanzania wasionufaika na RASIMALI Zao.
Katika SIASA za Afrika ambapo JAMII kubwa ni UNEDUCATED kufikia watu wengi na kwa uzuri zaidi yahitaji UBUNIFU wa hali ya juu.
Kuna wananchi bado wako 50/50 Wameichoka CCM na bado hawaamini UPINZANI utaleta ukombozi/mapinduzi ya kimaendeleo katika nchi hii! Unaongelea kuhusu watu kunufaika na MADINI yao,ila watu hao hawajui kunufaika na madini kupoje!! kadhalika,Unaongelea kuhusu watu kunufaika na GESI yao,ila watu hao hawajui kunufaika na gesi kupoje!!
Nazungumzi jamii za chini kabisa,
1)Unaongelea kuhusu stand ya VUMBI na Wanafunzi kusomea Chini GEITA na Kama watu wanaona PICHA kwenye projector HAMASA inazidi kuongezeka zaidi!
2)Unazungumzia kuhusu AMBULANCE vibajaji ambavyo vimekufa (HAZIFANYI KAZI) ukiwa na picha Unaeleweka maradufu!
3)Unazungumzia kuhusu MADAWATI na MADARASA yaliyobomoka kutokana na UFISADI unaeleweka zaidi.
4)Unazungumzia kuhusu UBOVU wa BARABARA unaotokana UFISADI unaeleweka zaidi.
5)Unazungumzia POWERTILER feki zinavyotesa wananchi. unaeleweka vizuri mno.
JE PROJECTORS ZITATUMIKAJE?
kama mkutano unaanza saa 8 mpaka saa12,ukipata nusu /saa zima mwisho wa mkutano kuonesha watu mambo yanayojiri KUTOKANA na CCM si mbaya.. Wataelimika na kujionea zaidi. Kuna watu hawafuatilii hata vyombo vya Habari!
Nadhani,majuzi tu Mbunge wa Musoma mjini(mh.Nyerere) ametoa seti za Tv sokoni ili watu wafuatilie yanayojiri katika taarifa za habari.Watu wako bize zaidi katika kutafuta Mkate,na hili linawanyima hata fursa ya kufuatilia mambo ya nchi yao. Na hili ni janga,Janga kabisa.
kuna watu waliwahi kushauri kuhusu kuwepo CHADEMATv,hii ni silaha kubwa sana,inahitajika ASAP! Ukiianza kufuatilia tangu mtirirko wa Mauaji ya Morogoro,Iringa na hata kipindi kile Arusha nasita kuelewa kwanini haipo!
Kama Mmeshindwa kuhusu CHADEMATv jaribuni na hichi Basi.kinachotakiwa ni mtirirko wa Documentaries zinazoelezea hali halisi ya Maisha ya WaTanzania wasionufaika na RASIMALI Zao.