Kifungu cha 13 (1) cha Sheria ya Ndoa sura ya 29, kinasema kuwa mwanamume mwenye umri wa chini ya miaka 18 na mwanamke mwenye umri wa chini ya miaka 15 hawaruhusiwi kufunga ndoa na mtu yeyote lakini kifungu cha 13 (2) kinaipa Mahakama mamlaka ya kufungisha ndoa baada ya maombi maalumu.
Mahakama...
Kifungu cha 13 (1) cha Sheria ya Ndoa sura ya 29, kinasema kuwa mwanamume mwenye umri wa chini ya miaka 18 na mwanamke mwenye umri wa chini ya miaka 15 hawaruhusiwi kufunga ndoa na mtu yeyote lakini kifungu cha 13 (2) kinaipa Mahakama mamlaka ya kufungisha ndoa baada ya maombi maalumu...
Mchezo unaozidi kupoteza mvuto wa mashabiki nchini Tanzania lakini kwa mataifa mengine ni mchezo unaowavutia wengi na kwa kila dereva anataka kushinda nakuonyesha uwezo wake...Una picha iliyokuvutia Dakar 2013 Argentina
Baada ya Frederica kukilalamikia kipimo cha kinasaba DNA kusambaratisha ndoa yake baada ya ugomvi mkubwa na mumewe kuhisi mtoto aliezaliwa kuonekana mwenye asili ya Asia toka rangi hadi nywele na kwenda kupima DNA na majibu kuonyesha mtoto huyo mtoto si wa mume usika na kusambaratisa ndoa yao...
Walitoa kauri ya kuwasusa maafande kwa kuto toa habari zinazowahusu
Leo Mjengwa blog,Michuzi pamoja na Jiachie wamewaweka maasimu wao
Je ni unafiki-ri au ndio sitaki nataka yao?
R I P Mwangosi
Waandishi wachemsha tena kila news ni mauaji ya Kamanda wa Polis auwawa mjini Mwanza,Jamani vp zile...
Msaada au maoni ya kitaalam kuh ujenzi wa nyumba kwenye ardhi ya udongo mfinyanzi.Nimeamua kutafakari nanyi
wenzangu wa JAMII INTELLIGENCE kwa maana ukitaka kwenda mbio lazima uagane na nyonga.Dunia hii si ya kukurupuka
tuu kama kuna wasaa kwa anaehitaji ana budi kuwauliza wenzie nami sina...
Ni Spencer West.Licha ya kutokuwa na miguu lakini amefanikiwa kupanda Mlima Knjaro
Spencer ni mfano hai ndani ya maisha yetu ya kila siku...
Tukiwa na dhamila tutafanikiwa haswa kwa jambo jema why not
chanzo
mpituli.blogspot.com
MTOTO AZALIWA AKIWA NA QUR AN MKONONI
Allah akbar Allah akbar ilisikika mjini Lagos Nigeria mara baada ya kubaini kilichoshikiriwa mkononi ilikuwa Qur an tukufu kitabu kinachobainisha haki na batri kwa mujibu wa iman ya dini ya kiislam,Bibi na Mama mzazi wa mtoto huyo wote wamebadili dini na...
Hii ndio Bongo the land of chukua chako uwende zako.Raia wake ni mabingwa wa kusahau japo si wote na ni mashabiki wa jambo jipya,Asikwambie mtu eti siasa ni mchezo mchafu!La hasha.Ni mchezo mchafu ndio siasa
Mh na nihii alikuwepo sasa chali
NANI AWEPO NANI ASIWEPO NA KWA NINI?
Hii ilikuwa baada ya Lowasa kuachia ngazi...chanzo african magic
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utawala Bora - Mathias Chikawe
Waziri wa Nchi, Oisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu - Steven Wassira
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa...
Eti wote si wale wale......Nani wa kumpa hii kesi?
Na nini dawa ya huyu nyenze mwenye mapengo?
Ni makauzu zaidi ya dagaa na hawafai kulumagia wala kula umo umo
Hakika wahenga walisema kesi ya nyani asipewe ngedele
Wa laaniwe wanaowabagua wenzao.Wanaongoza kupinga vitendo vya kibaguzi duniani.Tukubari tukatae hilo ni domo lao tuu vitendo vyao SAY YES TO RACISM angalia kwenye uwanja huu ni British tuu ndege za nchi nyengine ziko kwengine
Rafiki yangu wa zamani ambae sasa ni mpenzi wangu ana jinsia mbili za kike.siku kadhaa kabla hatujakuta faragha na huyu msichana aliniambia kuwa yeye ana jinsia mbili za kike kwa kweli sikuamini lakini sasa nimejionea na nampongeza muumba kwa usanifu wake mkubwa....ANADAI ANAPOKUWA KWENYE SIKU...
Nilikuwa kwenye daladala Ubungo Posta kuna mama mmoja mjamzito ana muomba konda
Yule mama alisikika..Gari limejaa ondoeni gari joto limezidi
Konda..inayo jaa chupa ya bia mama wala sio gari alafu kama kuna joto nenda kapande friji likupeleke unakokwenda
Yule mama akasema..Ahsante kwa majibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.