Chum Chang
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 999
- 272
NANI AWEPO NANI ASIWEPO NA KWA NINI?
Hii ilikuwa baada ya Lowasa kuachia ngazi...chanzo african magic
Hii ilikuwa baada ya Lowasa kuachia ngazi...chanzo african magic
- Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utawala Bora - Mathias Chikawe
- Waziri wa Nchi, Oisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu - Steven Wassira
- Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma - Hawa Ghasia
- Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri wa Muungano - Samia Suluhu Hassan
- Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri wa Mazingira - Dk. Terezya Luoga-Hovisa
- Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Sera, Uratibu na Bunge - William Lukuvi
- Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji - Mary Nagu
- Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - George Mkuchika
- Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (i) - Aggrey Mwanri
- Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (ii) - Kassim Majaliwa
- Waziri Wizara ya Fedha - Mustapha Mkullo
- Naibu Waziri Wizara ya Fedha (i) - Gregory Teu
- Naibu Waziri Wizara ya Fedha (ii) - Pereira Ame Silima
- Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Shamsi Vuai Nahodha
- Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Balozi Khamis Suedi Kagasheki
- Waziri wa Katiba na Sheria - Selina Kombani
- Waziri Wizara ya Mambo ya Nje - Bernard Membe
- Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje - Mahadhi Juma Mahadhi
- Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi
- Waziri Wizara yaMaendeleo ya Mifungo - Dk. Mathayo David Mathayo
- Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Mifungo - Benedict Ole Nangoro
- Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi ya Teknolojia - Profesa Makame Mnyaa M'barawa
- Naibu Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi ya Teknolojia - Charles Kitwanga (almaaruf Mawe Matatu)
- Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Profesa Anna Kajumulo-Tibaijuka
- Naibu Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Goodluck Ole Medeye
- Waziri Wizara ya Maliasili na Utalii - Ezekiel Maige
- Waziri Wizara ya Nishati na Madini - William Mghanga Ngeleja
- Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini - Adam Kighoma Ali Malima
- Waziri Wizara ya wa Ujenzi (Barabara na Viwanja vya Ndege) - Dk. John Pombe Magufuli
- Naibu Waziri Waziri Wizara ya wa Ujenzi - Dk. Harrison Mwakyembe
- Waziri Wizara ya Uchukuzi - (Reli, Bandari, Usafiri wa Majini) - Omary Nundu
- Naibu Waziri Wizara ya Uchukuzi - Athuman Mfutakamba
- Waziri Wizara ya Viwanda na Biashara -Dk. Cyril Chami
- Naibu Waziri Wizara ya Viwanda na Biashara - Lazaro Nyalandu
- Waziri Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi - Dk. Shukuru Kawambwa
- Naibu Waziri Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi - Philipo Mulugo
- Waziri Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii - Dk. Haji Hussein Mpanda
- Naibu Waziri Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii - Dk. Lucy Nkya
- Waziri Wizara ya Kazi na Ajira - Gaudensia Kabaka
- Naibu Waziri Wizara ya Kazi na Ajira - Dk. Makongoro Mahanga
- Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto - Sophia Simba
- Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto - Umi Ali Mwalimu
- Waziri Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo - Emmanuel John Nchimbi
- Naibu Waziri Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo - Dk. Fenela Mukangala
- Waziri Wizara ya Ushirikiano Afrika Mashariki - Samuel John Sitta
- Naibu Waziri Wizara ya Ushirikiano Afrika Mashariki - Abdallah Juma Abdallah
- Waziri Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika - Profesa Jumanne Maghembe
- Naibu Waziri Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika - Christopher Chizza
- Waziri Wizara ya Maji - Profesa Mark James Mwandosya
- Naibu Waziri Wizara ya Maji - Gerson Lwing