Chekeche jipya la mawaziri lanunikia muda si mrefu

Chum Chang

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
999
272
NANI AWEPO NANI ASIWEPO NA KWA NINI?
Hii ilikuwa baada ya Lowasa kuachia ngazi...chanzo african magic


  1. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utawala Bora - Mathias Chikawe
  2. Waziri wa Nchi, Oisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu - Steven Wassira
  3. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma - Hawa Ghasia
  4. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri wa Muungano - Samia Suluhu Hassan
  5. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri wa Mazingira - Dk. Terezya Luoga-Hovisa
  6. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Sera, Uratibu na Bunge - William Lukuvi
  7. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji - Mary Nagu
  8. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - George Mkuchika
  9. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (i) - Aggrey Mwanri
  10. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (ii) - Kassim Majaliwa
  11. Waziri Wizara ya Fedha - Mustapha Mkullo
  12. Naibu Waziri Wizara ya Fedha (i) - Gregory Teu
  13. Naibu Waziri Wizara ya Fedha (ii) - Pereira Ame Silima
  14. Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Shamsi Vuai Nahodha
  15. Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Balozi Khamis Suedi Kagasheki
  16. Waziri wa Katiba na Sheria - Selina Kombani
  17. Waziri Wizara ya Mambo ya Nje - Bernard Membe
  18. Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje - Mahadhi Juma Mahadhi
  19. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi
  20. Waziri Wizara yaMaendeleo ya Mifungo - Dk. Mathayo David Mathayo
  21. Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Mifungo - Benedict Ole Nangoro
  22. Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi ya Teknolojia - Profesa Makame Mnyaa M'barawa
  23. Naibu Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi ya Teknolojia - Charles Kitwanga (almaaruf Mawe Matatu)
  24. Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Profesa Anna Kajumulo-Tibaijuka
  25. Naibu Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Goodluck Ole Medeye
  26. Waziri Wizara ya Maliasili na Utalii - Ezekiel Maige
  27. Waziri Wizara ya Nishati na Madini - William Mghanga Ngeleja
  28. Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini - Adam Kighoma Ali Malima
  29. Waziri Wizara ya wa Ujenzi (Barabara na Viwanja vya Ndege) - Dk. John Pombe Magufuli
  30. Naibu Waziri Waziri Wizara ya wa Ujenzi - Dk. Harrison Mwakyembe
  31. Waziri Wizara ya Uchukuzi - (Reli, Bandari, Usafiri wa Majini) - Omary Nundu
  32. Naibu Waziri Wizara ya Uchukuzi - Athuman Mfutakamba
  33. Waziri Wizara ya Viwanda na Biashara -Dk. Cyril Chami
  34. Naibu Waziri Wizara ya Viwanda na Biashara - Lazaro Nyalandu
  35. Waziri Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi - Dk. Shukuru Kawambwa
  36. Naibu Waziri Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi - Philipo Mulugo
  37. Waziri Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii - Dk. Haji Hussein Mpanda
  38. Naibu Waziri Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii - Dk. Lucy Nkya
  39. Waziri Wizara ya Kazi na Ajira - Gaudensia Kabaka
  40. Naibu Waziri Wizara ya Kazi na Ajira - Dk. Makongoro Mahanga
  41. Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto - Sophia Simba
  42. Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto - Umi Ali Mwalimu
  43. Waziri Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo - Emmanuel John Nchimbi
  44. Naibu Waziri Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo - Dk. Fenela Mukangala
  45. Waziri Wizara ya Ushirikiano Afrika Mashariki - Samuel John Sitta
  46. Naibu Waziri Wizara ya Ushirikiano Afrika Mashariki - Abdallah Juma Abdallah
  47. Waziri Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika - Profesa Jumanne Maghembe
  48. Naibu Waziri Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika - Christopher Chizza
  49. Waziri Wizara ya Maji - Profesa Mark James Mwandosya
  50. Naibu Waziri Wizara ya Maji - Gerson Lwing
 
Nimeshachoka hata kufikiria na kutarajia mapya manake bila 2015 hakuna jipya vyovyote atakavyoamua poa hata akiamua kumweka Irizi One poa bana.

Kitanda chenye kunguni hata ubadilishe shuka kunguni watakuwepo tu
 
NANI AWEPO NANI ASIWEPO NA KWA NINI?
Hii ilikuwa baada ya Lowasa kuachia ngazi...chanzo african magic


  1. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utawala Bora - Mathias Chikawe
  2. Waziri wa Nchi, Oisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu - Steven Wassira
  3. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma - Hawa Ghasia
  4. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri wa Muungano - Samia Suluhu Hassan
  5. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri wa Mazingira - Dk. Terezya Luoga-Hovisa
  6. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Sera, Uratibu na Bunge - William Lukuvi
  7. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji - Mary Nagu
  8. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - George Mkuchika
  9. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (i) - Aggrey Mwanri
  10. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (ii) - Kassim Majaliwa
  11. Waziri Wizara ya Fedha - Mustapha Mkullo
  12. Naibu Waziri Wizara ya Fedha (i) - Gregory Teu
  13. Naibu Waziri Wizara ya Fedha (ii) - Pereira Ame Silima
  14. Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Shamsi Vuai Nahodha
  15. Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Balozi Khamis Suedi Kagasheki
  16. Waziri wa Katiba na Sheria - Selina Kombani
  17. Waziri Wizara ya Mambo ya Nje - Bernard Membe
  18. Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje - Mahadhi Juma Mahadhi
  19. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi
  20. Waziri Wizara yaMaendeleo ya Mifungo - Dk. Mathayo David Mathayo
  21. Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Mifungo - Benedict Ole Nangoro
  22. Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi ya Teknolojia - Profesa Makame Mnyaa M'barawa
  23. Naibu Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi ya Teknolojia - Charles Kitwanga (almaaruf Mawe Matatu)
  24. Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Profesa Anna Kajumulo-Tibaijuka
  25. Naibu Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Goodluck Ole Medeye
  26. Waziri Wizara ya Maliasili na Utalii - Ezekiel Maige
  27. Waziri Wizara ya Nishati na Madini - William Mghanga Ngeleja
  28. Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini - Adam Kighoma Ali Malima
  29. Waziri Wizara ya wa Ujenzi (Barabara na Viwanja vya Ndege) - Dk. John Pombe Magufuli
  30. Naibu Waziri Waziri Wizara ya wa Ujenzi - Dk. Harrison Mwakyembe
  31. Waziri Wizara ya Uchukuzi - (Reli, Bandari, Usafiri wa Majini) - Omary Nundu
  32. Naibu Waziri Wizara ya Uchukuzi - Athuman Mfutakamba
  33. Waziri Wizara ya Viwanda na Biashara -Dk. Cyril Chami
  34. Naibu Waziri Wizara ya Viwanda na Biashara - Lazaro Nyalandu
  35. Waziri Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi - Dk. Shukuru Kawambwa
  36. Naibu Waziri Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi - Philipo Mulugo
  37. Waziri Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii - Dk. Haji Hussein Mpanda
  38. Naibu Waziri Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii - Dk. Lucy Nkya
  39. Waziri Wizara ya Kazi na Ajira - Gaudensia Kabaka
  40. Naibu Waziri Wizara ya Kazi na Ajira - Dk. Makongoro Mahanga
  41. Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto - Sophia Simba
  42. Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto - Umi Ali Mwalimu
  43. Waziri Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo - Emmanuel John Nchimbi
  44. Naibu Waziri Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo - Dk. Fenela Mukangala
  45. Waziri Wizara ya Ushirikiano Afrika Mashariki - Samuel John Sitta
  46. Naibu Waziri Wizara ya Ushirikiano Afrika Mashariki - Abdallah Juma Abdallah
  47. Waziri Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika - Profesa Jumanne Maghembe
  48. Naibu Waziri Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika - Christopher Chizza
  49. Waziri Wizara ya Maji - Profesa Mark James Mwandosya
  50. Naibu Waziri Wizara ya Maji - Gerson Lwing

Hili ni Genge la wezi, kundi haramu, kundi lililolaaniwa na shetani (na wala sio Mungu) limelaaniwa na lusifeli, shetani mkubwa. Liangamie kabisa popote lilipo
 
Kumbe tuna mawaziri+ manaibu= 50!!! Lol Yarabi tobaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hayo magari, mafuta, servive, allowance, etc. Aaaahaaaaaaaaaaaaaaaa, ndo maana kumbeeeeeeeeeeeeee
Inaumiza kwa kweli unaweza ukajikuta unatukana mwenyewe.
 
karibu robo ya wabunge wa ccm ni mawaziri. kazi kweli kweli sasa 2015 cdm ikiongeza idadi ya wabunge kufikia 160 inamaana wabunge wote wa ccm watakuwa mawaziri
Hivi kumbe kunawatu bado wanafikiri ccm watachukua nchi 2015 pole sana.
 
Kumbe tuna mawaziri+ manaibu= 50!!! Lol Yarabi tobaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hayo magari, mafuta, servive, allowance, etc. Aaaahaaaaaaaaaaaaaaaa, ndo maana kumbeeeeeeeeeeeeee

Hatari lakini usalama hamna

Ni upepo wa kisiasa mkuu (Nukuu ya 22-04-2012). Hakuna lolote jipya!!!

Kwa hiyo tuuwache upulize

karibu robo ya wabunge wa ccm ni mawaziri. kazi kweli kweli sasa 2015 cdm ikiongeza idadi ya wabunge kufikia 160 inamaana wabunge wote wa ccm watakuwa mawaziri

Ili wayapitishe wanayoyataka
 
Mkuu chum chang ni bora al shabab kuliko kundi la laana kumu hao,bora wafe na tusiomboloze.
 
karibu robo ya wabunge wa ccm ni mawaziri. kazi kweli kweli sasa 2015 cdm ikiongeza idadi ya wabunge kufikia 160 inamaana wabunge wote wa ccm watakuwa mawaziri

wakati huo ccm itakuwa chama cha upinzani kama kwenye jiji la mwz au musoma mjini! Hawaunda serikali bali watakuwa wanapeleka matatizo ya wananchi serikalini kupitia bunge!
 
Kumbe tuna mawaziri+ manaibu= 50!!! Lol Yarabi tobaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hayo magari, mafuta, servive, allowance, etc. Aaaahaaaaaaaaaaaaaaaa, ndo maana kumbeeeeeeeeeeeeee

Sasa unavyosikia serikali inasema haina hela ulikuwa huelewi? hapo bado hawajasafirishwa kupelekwa nchi za nje au mikoani kutumia ndege accomodation transport na malaji!!!:rolleyez:
 
my opinion, aache tuu maisha yaendelee kama yalivyo! wabongo watakapopata ubongo ndio abadili, kwa sasa muda bado! si mnasema ni genge la wezi, sasa amuweke mtu msafi ili amchafue?
 
Back
Top Bottom