Chum Chang
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 999
- 272
nazani mtoa mada hajajua maana ya neno racism,
naamin ndege hazihusiki kwenye swala la racism
Sasa niko SWISS oneni jamaa na uwanja wao ndege zote zinatua sehemu mmoja na hata hao mabwana wakubwa zenu nao wanatua hapo hapo hakuna mwenyeji wala nini,Hata kule Tza hakuna sehemu maalum ya AIR TANZANIA.tatizo mmekuwa kama tv mpaka when Britsh ...........
View attachment 51767
Well said.nazani mtoa mada hajajua maana ya neno racism,
naamin ndege hazihusiki kwenye swala la racism
Mnampinga kwa mfano alioutoa ila ubaguzi upo ingawa si kiviiile
Ubaguzi upo hatukataii ila sio kwa mada aliyoileta.Huo ni utaratibu wa viwanja vikubwa uatakuta kila shirika la ndege hasahasa hya makubwa yana maeneo yake aende frankfurt mbona atafikili shilika moja la ndege ndo linaruhusiwa kutua
Tembea uone uncle, hiyo ni kawaida nchi zilizoendelea kunakuna na designated terminal or airports for their own flights and there racism does not apply.
Racism ni pale watakapotemteshwa wabritish kwanza before anybody!