Wasaalamu wandugu!
Jamaa yangu kaniletea iPad sijui hata model haina WhatsApp. Nahangaika namna ya kuingiza yangu jana bado inanizingua.
Msaada wandugu nifanyeje ili niweke WhatsApp?
Wakuu Wasalaam?
Naomba kujua historia ya hii picha maana nimekuwa naona tu mitandai naomba kujua;-
1. Huyu mtoto anaitwa nani?
2. Na kwanini anaonekana kafungwa minyororo?
3. Alikuwa raia wa taifa gani?
4. Na wakina nani walimfunga hiyo minyororo?
Salama wajumbe?
Tukiwa ukumbi wa Winome
Watu wanazidi kuingia ukumbini
Mgeni bado hajawasili
Katibu mwenezi anajaribu kuuliza makundi mbalimbali nini changamoto ya vijana, wakinamama, wanaume kushindwa kutetea nafasi mbalimbali za uongozi wa ngazi mbalimbali kwenye jamii.
Baadhi ya...
Heshima kwenu wadau!
Naomba kujua historia ya mwanamke aliyetekwa kipindi cha ukoloni kule kusini mwa afrika na kupelekwa nchini Ufaransa kutumikishwa ngono mpaka kupelekea kifo chake. Nimesahau jina lake.
Naomba kuwasilisha!
Ndugu wanajamvi in matumaini yangu mu wazima wa nje!
Nina simu aina ya xiaomi redmi 4a kila nikijaribu kutafuta namna ya kufungua akaunti ya MI sipaoni. Bahati mbaya hii simu nimenunua kwa mtu haina mfuma wa google.
Naomba msaada namna ya kufungua basi hata kwa huo mfumo wao wa MI.
Kila...
Habari wakuu?
Naomba kujuzwa wanajf simu yangu ni galaxy trend gt-s7392.
Siku hizi imekuwa na tatizo la mtu akikutumia sms basi hiyo sms itakuwa inajirudiarudia mara kwa mara kuingia na inaweza kuwa kutwa nzima kila baada ya dakika kadhaa inaingia.
Hivi hili tatizo linasababishwa na nini?
Heshima kwenu wanajamvi!
Naomba msaada wa maelekezo jinsi ya "configurate" modemu kwenye kompyuta. Maana nimezoea kwenye simu.
Natanguliza shukurani zangu za dhati!
Ni imani yangu mu wazima wanajamvi wenzangu!
Ndugu zangu Wanakibaigwa wenzangu mnaonaje kwa hili tukio lililotokea kwa kuchinjwa kwa Mwanakibaigwa mwenzetu usiku wa kuamkia leo (14/01/2017)?
Hebu naomba tujuzane habari zozote kama kuna yeyeto anayefahamu kuhusiana na huu unyama uliofanyika...
Habari wakuu?
Naomba link za kuweza kupakua app ya screenshoot kwenye simu yangu ya nokia e5(symbian).
Kuna kipindi cha nyuma niliweka simu ikakorofisha ikaflashia kwahiyo na ile app ilifutika.
Nimesahau site ya kuzipata hizo app za screenshoot naomba msaada ili niweke tena maana nilikuwa...
Habari wanajamvi?
Naomba msaada simu yangu tajwa hapo juu imekuwa na tatizo la kujiwasha programu ya headset nashindwa kuelewa sijui ni tatizo gani?
Nimejaribu kuwapelekea baadhi ya mafundi wameshindwa kujua ni tatizo gani?
Naomba kwa yeyote aliyewahi kutumia simu aina hii anisaidie...
Habari wanajf!
Kuna jamaa yangu kafuta playstore kwenye simu yake tajwa hapo juu.
Naomba msaada kwa wataalamu na mambo hayo ili nipate maelekezo nifanyeje ili kupata kuirejesha?
Natanguliza shukrani za dhati!
Mdogo wangu kachezea simu yake ya nokia E5 kwenye phone security code
Amesahau namba alizoingiza na simu imejifunga kila akitaka kufanya chochote simu inadai security code
Naomba msaada wanajamvi kama kuna namna ya ku-unlock bila kutumia computer naomba maelekezo
Bwana awe nanyi wanajamvi!
Bado mpaka sasa nashindwa kuelewa maana ya vitu hivi, utakuta simu ikishatangazwa hasa kule gsmarena kwa pale pembeni vimeandikwa;- 96% popurality, 4.9 design, 4.8 feature na 4.1 perfomance vina maanisha nini?
Asanteni sana naomba kuwasilisha!
Heshima kwenu wanajamvi!
Nilitaka ku-unlock app ya fotmob ili kuwa premier.
Nimeclick hatua za mwanzo mpaka ilipofikia ikaniomba namba zangu za credit card nikaweka.
Baada ya zoezi hilo ikaweka vitu kama hivi nikashindwa kuelewa " MM/YY CVC" ni kitu gani.
Naomba kuwasilisha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.