Wana Kibaigwa, mnaonaje hili tukio lililotokea kwa kuchinjwa kwa mwenzetu?

kalendi

JF-Expert Member
Mar 17, 2012
1,327
524
Ni imani yangu mu wazima wanajamvi wenzangu!

Ndugu zangu Wanakibaigwa wenzangu mnaonaje kwa hili tukio lililotokea kwa kuchinjwa kwa Mwanakibaigwa mwenzetu usiku wa kuamkia leo (14/01/2017)?

Hebu naomba tujuzane habari zozote kama kuna yeyeto anayefahamu kuhusiana na huu unyama uliofanyika kwenye mji wetu mdogo kwa mji umezizima kwa hili tukio.

Hasa kwa wakazi wa Kibaigwa mliomo humu jf nawasilisha na kusema karibuni sana tujuzane!
 
Mkuu leo ni tarehe 14/01/2017, wewe umefikaje tarehe 15/01/2017?

Samahani mkuu ni makosa tu ya kiuandishi nimerekebisha!

Haya tuendelee mkuu weka mtazamo wako kwa hili tukio!
 
Sawa pamoja na hao kamati kuendelea na hayo, lakini na sisi huku ukumbini tunakuwa tuanaendelea kupeana vidokezo mbalimbali kama kawaida huku tupo ukumbini
 
Back
Top Bottom