Kalendi,Heshima kwenu wadau!
Naomba kujua historia ya mwanamke aliyetekwa kipindi cha ukoloni kule kusini mwa afrika na kupelekwa nchini Ufaransa kutumikishwa ngono mpaka kupelekea kifo chake. Nimesahau jina lake.
Naomba kuwasilisha!
Ndio mwemyewe-kuna thread yake humuNi yule aliyekua na makalio makubwaaaaaa akawa anafanyiwa maonyesho?