Tips pub Mikocheni inaonekana sio sehemu salama sana sasa baada ya jamaa anayejulikana kama Andy Senkoro kuchomwa kisu mithiri ya kuchinjwa kwenye pub hiyo
Sasa yupo ICU Muhimbili tumuombee….
Ishu nzima ilikuwa hivi
Hawa jamaa walikuwa wanakula na kunywa pamoja kwa muda na kujadiliana kuhusu...
Naomba elimu hizi smart phones na esp WhatsApp watu wanashare photos m,bali mbali na zinajisave automatic kwenye galley....how do I avoid this inajaza simu na un wanted photos...
SAIDIA ELIMU HIYO....
2. HAPA UNAJUAJE GENDER YA MEMBER HE/SHE
HAYA HAYA TWENDE NA Dr WA MICHEZO NA MTU MAKINI KUTUVUSHA HAPA TULIPO.....
CHAGUA DR TIBOROHA KWA MAENDELEO ENEDELEVU YA YANGA.....
Don't waste your vote on 13th Jan 21019
TIBOROHA OYEEEEEEEEEEEEE
Mpendwa wetu Kato Katunzi usiku wa kuamkia leo kafariki dunia kwa ajali mbaya ya gari. Mipango ya maziko inafanyika.
Taarifa nyingine zitafuata...
====
Kato Katunzi amepata ajali na kufariki Dunia usiku wa kuamkia Leo huko Mbezi beach. Mwili wa marehemu upo hospital ya Mwananyamala. Msiba upo...
Hii nimeiona EATV KUNA UKWELI GANI KATIKA HILI sasa hakuna kufanya kazi tena ni uhakiki tu mwenye ukweli atwambie
==========
Serikali ya mkoa wa Mbeya kupitia Katibu Tawala wa Mkoa Bi. Mariam A. Mtunguja imetangaza kuanza leo Februari 28 zoezi la kuhakiki upya vyeti vya kidato cha nne na sita...
LAUDIT MAVUGO KUIPONZA SIMBA SC FIFA? VITALO ' O WANG'AKA
Na Samuel Samuel
Wakati Simba SC wakiiweka rehani leseni ya beki wa kulia wa Young Africans Hassani Kessy kuichezea timu hiyo kwa kile kinachodaiwa mchezaji huyo na klabu ya Young Africans kukiuka mkataba wa awali wa klabu hiyo na...
Mawakili waliweka application ya kureject the money laundering charge..so mawakili wasomi wameweka nondo zao..hakimu atayafanyia kazi yote yaliyosemwa na kutoa maamuzi tar 22..so wataendelea kuwa rumande mpaka uamuzi utakapotolewa.
Wapendwa habari za kazi, naomba mwenye taarifa atujuze KUNA WAKATI JANUARI AMA DEC TULIFANYA INTERVIEW "WRITTEN" Hapo IFM Madarasa yote kwa kazi mbalimbali NSSF wengine tunaona kimya kama imetoka tujuzane.
Siku njema.
Wadau salam, naomba mwenye taarifa za KAZI ZA NSSF TULIFANYA INTERVIEW kwenye madalasa ya IFM, mwezi uliopita tunaona kimya ama wamekwisha chukua kimya kimya...mwenye taarifa atujuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.