Ukweli kesi ya Kitilya na wenzake

Ukweli kesi ya Kitilya na wenzake

MUSONI

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
904
Reaction score
692
Mawakili waliweka application ya kureject the money laundering charge..so mawakili wasomi wameweka nondo zao..hakimu atayafanyia kazi yote yaliyosemwa na kutoa maamuzi tar 22..so wataendelea kuwa rumande mpaka uamuzi utakapotolewa.
 
Hivi mawakili wote si ni wasomi mbona unawaita mawakili wasomi una maana gani?
 
Kubeba CASH $$$$$ kwenye mifuko ya sulphate ni money laundering; hapo hawachomoki!!!
 
Mpaka tare 22, loohhh!!! Former miss Tz namuonea huruma. Kama vipi case yake niibebe mimi.
 
Kubeba CASH $$$$$ kwenye mifuko ya sulphate ni money laundering; hapo hawachomoki!!!
Hivi kama wamechukua hizo hela wakanunulia kwa mfano mashamba Kigamboni ,inakuaje ni money laundering ? Naomba ufafanuzi tafadhali
 
Mpaka tare 22, loohhh!!! Former miss Tz namuonea huruma. Kama vipi case yake niibebe mimi.
Rex ATTONEY ni kampuni yao wenyewe
akina MWANAIDI SINARE
EVE HAWA SINARE
watahonga hata kwa bilion tano ili tu watoke hii familia sio mchezo
,
 
Dah siamini huyu mzee Kitilya na nyodo zake leo ananyea ndoo,mzee jirani yangu huyu.
 
mawakili..dr..wahasibu usiwasifie kuwa ni wasomi hata wao ni kosa kujitangaza kuwa ni bora zaidi ya wengine katika fani moja mkuu...ila maprofessor ambao sio wasomi wapo weengi tuu..
 
Rais alishasema mafisadi ikidhibitika wameiba wafungwe na wafirisiwe mali zaoa na hii ashairudia kwy siku ya sheria duniani!wasubirie tu kwenda tu segerea ukizingatia hata FSO washatoa all facts etc wanavuta tu mda.
 
Hivi kama wamechukua hizo hela wakanunulia kwa mfano mashamba Kigamboni ,inakuaje ni money laundering ? Naomba ufafanuzi tafadhali

Ndio hasa Money laundering. Maharamia wa Somalia wanateka Meli then pesa wanazopata wanajengea majengo nairobi halafu wanapangisha wafanyabiashara wakiwataka kodi zao walipie direct bank za Kimarekani. Hapo tayari pesa chafu wamefanikiwa kuziingiza kwny mfumo rasmi na zinaonekana safi halafu zinanunulia hisa na kufanya mambo mengine ikiwa ni pamoja na kununua silaha
 
Rex ATTONEY ni kampuni yao wenyewe
akina MWANAIDI SINARE
EVE HAWA SINARE
watahonga hata kwa bilion tano ili tu watoke hii familia sio mchezo
,

Fedha ingezidi nguvu ya Dola Lowasa angekuwa Rais, Bashiru Awale angekuwa Govenor, Sioi angekuwa Mbunge wa kuteuliwa na Rais pia Naibu Waziri Fedha
 
Ndio hasa Money laundering. Maharamia wa Somalia wanateka Meli then pesa wanazopata wanajengea majengo nairobi halafu wanapangisha wafanyabiashara wakiwataka kodi zao walipie direct bank za Kimarekani. Hapo tayari pesa chafu wamefanikiwa kuziingiza kwny mfumo rasmi na zinaonekana safi halafu zinanunulia hisa na kufanya mambo mengine ikiwa ni pamoja na kununua silaha
Nashukuru Pohamba ,naomba turudi kwenye sakata kama lile la ESCOROW, kuna watu inasemekana walichukua pesa kwa sandarusi , na kuna wengine pesa zilikua wired kwenye accounts zao , hawa waliowekewa kwenye Accounts zao kosa lao ni Tax invasion kama Prof Tibaijuka ,
Kwanini wote wasishitakiwe kwa kosa la money laundering wakati walitumia illegal source of funds ??
 
Back
Top Bottom