Taarifa za uhakika kutoka Dodoma ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kesho Ijumaa tarehe 09/6/2023 wametumiwa ujumbe wa wito wa kushiriki kikao cha Wabunge wa CCM - Party caucus Kwa ajili ya kuweka msimamo juu ya kupitisha azimio la mkataba wa Serikali na Dubai.
Kikao hiki kimeitwa siku moja kabla...
DENI LA TPDC
Huu ni mkopo wa shirika kupitia hazina kutoka EXIM BANK CHINA kwaajili ya mradi wa gesi wa mtwara na songo songo kuja Dar lakini ilipofika DAR badala ya kumalizia usambazaji wa gesi kwa watumiaji ili wapate hela waanze kulipa deni wamebadili mradi sasa wanazungumzia LNG !! Laini...
ITV ya wapi iliyoripoti habari hii? Mbona mnahangaika Sana ? Wacha inyeshe pajulikane panapovuja !
Mtu hata Kuapa Mahakamani hajaapa,ika amekuwa Mbunge, hajui aliapa Dodoma au Dar! Hajui alijaza fomu namba ngapi za kuwa Mbunge! Hajui fomu zilitolewa lini ! Yeye alipata fomu kabla hata Bunge...
Mawaziri wako busy kusambaza mitungi ya gesi ,Mwingine alikuwa anatembelea chopa za Jeshi kuweka vibao vya mitaa!
Wengine sijui wako pande ipi, akimaliza wa gesi atakuja Yule wa visiwani, sijui atakuwa na ubunifu upi Ila atakuwa na ziara !
Wewe umetumwa? Kumbuka Mhongo aka Muongo ! Aliwahi sema wtz hawawezi kumiliki uchumi wa gesi! Huyo Prof . Hovyo!
Mabula, unataka atoke Kwa sababu ya jinsia yake ? Ili baadaye ujenge hoja ya wanawake hawapendani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.