Search results

  1. COMOTANG

    Wamekata Umeme

    Wakuu habari za asubuhi. Yaani wameukata umeme sijui ndio mgao umeanza
  2. COMOTANG

    Viongozi ombeni ushauri kwa Rehema Nchimbi kuhusu suala la wamachinga

    Nina shauri kwa suala la Wamachinga, Viongozi mtafuteni Rehema Nchimbi awasaidie ushauri na jinsi ya kuweka utaratibu mzuri katika kuwapanga machinga. Kwani Mama huyu aliweza kutenga maeneo, kupanga na kuweka utaratibu mzuri Sana kwa machinga wa Dodoma, kipindi akiwa Mkuu wa mkoa. Tulifanya...
  3. COMOTANG

    HEKAYA ZA ABUNUWASI

    Habari zenu wananjamvi. Mwenye hadithi za kitabu Cha HEKAYA ZA ABUNUWASI naomba atuwekee hapa.
  4. COMOTANG

    Serikali irahisishe ulipaji wa kodi ya ardhi ilipwe kwa mfumo wa luku kama kodi ya Jengo

    Habari wadau. Ningependa serikali irahisishe ulipaji wa Kodi ya ardhi ilipwe kwa mfumo wa Luku Kama Kodi ya Jengo. urahisiha Kodi kukusanywa kwa wakati. Kuutua mzigo wa Kodi kwa wananchi wa kulipa Kodi ya ardhi kidogo kidogo
  5. COMOTANG

    #COVID19 Tuliopitiwa na wimbi la 3 Mwenyezi Mungu akatuokoa tukutane hapa

    Habari Wana JF wenzangu.Kama kichwa kinavyo jieleza. Kwa wale tuliopitiwa na wimbi la 3 na Mwenyezi Mungu akatuokoa tubadilishane mapito na Aina ya tiba tulizotumia na zika tusaidia . Binafsi nililala kitandani kwa takribani wiki 3. Hali ilianza Kama utani,baridi Kali Kisha homa Kali halafu...
  6. COMOTANG

    TAA na TANROADS lini mtatulipa fidia wadau wa Msalato?

    Habari za leo, napenda kukuulizeni TAA & TANROADS Ni lini MTATULIPA FIDIA wadau tuliofanyiwa uthamini toka mwaka 2018 ili kupisha ujenzi wa UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO?
  7. COMOTANG

    Fidia kwa waliopisha upanuzi wa uwanja ndege Msalato

    Habari za jioni. Kwa wanaohusika na malipo ya fidia ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato -Dodoma mtatulipa lini fidia hiyo miaka inakwenda ardhi na vilivyomo havituzalishii toka mlipohakiki mara ya kwanza mwaka 2018 ni miaka mitatu, Sasa je, mtaongeza kiwango cha fidia au ndo mtatulipa...
  8. COMOTANG

    Ukosefu wa maji baadhi ya maeneo ya Dodoma kwa takriban wiki sasa tatizo nini?

    Habari za usiku, ninachukua nafasi hii kuwauliza wahusika wa mamlaka ya maji Safi na Taka ya Dodoma (DUWASA) kutopatikana kwa maji takriban wiki sasa katika maeneo ya mailimbili Oysterbay tatizo nini? -DUWASA mnafahamu fika kuwa mji wa Dodoma hauna Visima,mito na mabwawa kama njia mbadala ya...
  9. COMOTANG

    Hodi wenyeji

    Habari wennyeji mgeni nimebisha NAOMBA mnipokee kwa mikono miwili Natanguliza shukran
Back
Top Bottom