Asante kwa ufafanuzi. Kwa hiyo nikitaka kudai hizo pesa za usumbufu nilikotoka nafanyeje? Naandika barua? Kuna haja ya ku-note vitunguu vya sheria kwenye barua hiyo? Naomba Kama kuna uwezekano wa kupata kifungu cha sheria ili inisaidie kufuatilia hilo.
Habari zenu,
Nina bwana wangu ambaye mjomba wake amemuoa shangazi yangu. Tumekuwa na mahusiano kwa muda sasa.
Nataka nifunge nae ndoa, je tutakuwa na sisi ni ndugu? Au kuna uwezekano wa kukataliwa ndoa kwa sababu ndugu zetu wameshaona? Au tutaweza kuoana bila changamoto yoyote?
Naombeni...
Habari za saa hizi wanaJF.
Naomba kujua, unapohamishwa kikazi bila kuomba kwa mtumishi wa umma, ni stahiki zipi inatakiwa kulipwa?
1. Kuna posho ya usumbufu
Hii inatolewa unapotoka au unapoenda?
2. Pesa ya kujikimu kwa muda gani?
Hii inatolewa unapotoka au unapoenda?
Au Kama kuna stahiki...
Eti kuna mjomba wangu amemuoa shangazi wake bwana wangu. Je Mimi siwezi tena kuelewa na bwana wangu kwa sababu ndio itakuwa Kuna undugu.? Au tukiamua tunaoana tu?
Naombeni wale wenye uzoefu wanisaidie kwa watu 300. je kila mtu anaweza kunywa bia ngapi? soda ngapi? juice ngapi zinatosha? maji mangapi? champain ngapi? n.k. nikipata kujua kuhusu vinywaji ingependeza zaidi. naomba mnisaidie.
Niaje wadau. Kuna kampuni imekuja kutangaza kuwa inauza viwanja Mlandizi. Ikatoa na ramani na inasema unaweza kulipa kidogokidogo ndani ya miezi 18 unatakiwa uwe umemaliza.
Sijawahi kufika huko Mlandizi Ila kampuni ina ofisi na hata namba za akaunti na simu walizotoa zimesajiliwa kwa majina ya...
Niaje wadau? kwani mitazamo yenu au mtazamo wako korona inategemea kuisha lini? na uchumi kurejea tena utachukua muda gani? ndege zianze kuruka tena na kadhalika. hebu nipe mtazamo wako.
Wana JF,
Hivi anayefanya mtihani kwa usaili wa kujitegemea (private candidate) na usaili wa shule (School candidate, kuna tofauti gani kubwa hasa? School Candidate anafaidika nini ambacho private candidate hapati? Ni kweli grades za private ni kubwa kuliko za School?
Nini hasa tofauti zake?
Habari wana JF.
Leo nilikuwa kwenye daladala asubuhi nikasikia mama mmoja analalamika kuwa mwanae amesajiliwa kama private candidate kwenye mtihani wa form six. Sababu anasema kuwa mwanaye hajafikisha points 25 kwa matokeo yake ya form four pamoja na kurisiti, kurisiti, yaani ukichukua jumla...
Niaje wadau.
Hivi unaweza kuajiriwa tena kama ulikuwa umeachishwa kazi serikalini. Kwa maana kufukuzwa au hata pengine kuacha mwenyewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.