BWANA MISOSI
Member
- Feb 11, 2020
- 39
- 24
Eti kuna mjomba wangu amemuoa shangazi wake bwana wangu. Je Mimi siwezi tena kuelewa na bwana wangu kwa sababu ndio itakuwa Kuna undugu.? Au tukiamua tunaoana tu?
Mkiamua mnaoana tu, nasema uongo ndugu yangu Bwana Misosi?