BWANA MISOSI
Member
- Feb 11, 2020
- 39
- 24
Wana JF,
Hivi anayefanya mtihani kwa usaili wa kujitegemea (private candidate) na usaili wa shule (School candidate, kuna tofauti gani kubwa hasa? School Candidate anafaidika nini ambacho private candidate hapati? Ni kweli grades za private ni kubwa kuliko za School?
Nini hasa tofauti zake?
Hivi anayefanya mtihani kwa usaili wa kujitegemea (private candidate) na usaili wa shule (School candidate, kuna tofauti gani kubwa hasa? School Candidate anafaidika nini ambacho private candidate hapati? Ni kweli grades za private ni kubwa kuliko za School?
Nini hasa tofauti zake?