________________________________________________
UCHAMBUZI MAKINI WA KITABU CHA:
"SIRI ZA AKILI YA MTU TAJIRI" (SECRETS OF THE MILLIONAIRE MIND)
NA:
LEONARD JULIUS SHIGANGA WA MWANAMATINGATINGA.
Kitabu hiki kimeandikwa na T. HARV EKER, na kimechapishwa mnamo mwaka 2005.
KUHUSU MWANDISHI...
EPISODE ONE
________________________________
UCHAMBUZI MAKINI WA KITABU CHA:
"SIRI ZA AKILI YA MTU TAJIRI" (SECRETS OF THE MILLIONAIRE MIND).
NA:
LEONARD JULIUS SHIGANGA WA MWANAMATINGATINGA.
Kitabu hiki kimeandikwa na T. HARV EKER, ambaye ni milionea, mwandishi na mzungumzaji maarufu...
MAJIBU SAHIHI YA SWALI LA MSINGI "NIFANYE BIASHARA GANI?"
NA,
LEONARD JULIUS SHIGANGA WA MWANAMATINGATINGA.
Watu wengi hasa wale wanaopata mtaji na kuwa na nia ya kufanya BIASHARA mbalimbali katika maeneo yao, wamekuwa wakijiuliza sana hili swali "NIFANYE BIASHARA GANI?"
# LEO NIMEONA KUWA...
Majibu sahihi ya swali la msingi "Nifanye biashara gani?"
Na,
Leonard julius shiganga wa mwanamatingatinga.
Watu wengi hasa wale wanaopata mtaji na kuwa na nia ya kufanya biashara mbalimbali katika maeneo yao, wamekuwa wakijiuliza sana hili swali "Nifanye biashara gani?"
# leo nimeona kuwa...
Ndugu yangu hoja hapa sio aina ya biashara unayotaka kufungua, hoja kubwa hapa ni kwamba, "how do you see yourself in that business?" Kwa maana nyingine ukijiangalia, kujipima, kujitathimini na kujikagua ndani mwako mwenyewe unajiona unaweza kuwa bora kwenye biashara gani kati ya hizo ulizo...
Ahsante pia na wewe ndugu yangu@Pendaelli kwa kujifunza maarifa haya kwa undani zaidi ni kweli kitabu kimetumia lugha ngumu but nimeona nikieleze kwa lugha nyepesi ili tunaotafuta maaarifa tujifunze vyema na twende pamoja 2024 hakuna kumuacha mtu nyuma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.