Mimi nafikiri kwenye haya mambo ya dini tulipigwa! na hakuna ukweli hata kidogo!
Mfano kwenye kuruani wameandika kuwa mungu hana ubaguzi na wala hana upendeleo kwa binadamu, lakini hapo hapo tunasoma kuwa muhamad ndie alishushiwa maandiko ili atusambazie dunia nzima?
Hii inashangaza na...
jamani mwenzenu nina tatizo naona litaniletea shida hapo baadae ni hivi sasa nimeanza kunenepeana na kutoka kitambi ambacho kwa kweli sikipendi naomba mnijulishe dawa ya kukiondoa wadau.nawasilisha
Habari zenyu wana jf.nimerudi tena kuomba ushauri kwenu!
Mwenzenu nina mpango wa kuongeza mke wa pili sababu naona ntakonda bure na hii hali ya mke kunipangia ratiba ya kunipa unyumba nashindwa kuvumilia mwenzenu!
Jamani mwenzenu kwa muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na tumbo na kila nikipima naambiwa nina amoeba na madawa nimetumia aina zote lakini sijapata naafuu yoyote,msaada kwa anayejua tiba kamili nawasilisha.
Wapendwa wana jf hivi hii hali ya kwenda mwendo mrefu niwapo faragha na kiburudisho ni ya kawaida kweli?maana utakuta mzunguko mmoja naenda hata nusu saa nzima!mnijuze wadau.
Hebu niambie ungekuwa ni wewe ungefanyaje? Ni takribani mwaka sasa hali yako kiuchumi sio nzuri kifupi umefulia vibaya,siku moja anakutembelea rafiki yako mkubwa mlioshibana,usiku akiwa amelala unaona tangazo kwenye tv kuwa anatafutwa na polisi zawadi milion 100, hivi utafanyaje hapo?
Jamani mwenzenu kuna house girl nampenda sana ila naona aibu kuweka wazi kwa marafiki zangu sababu tu ni hgirl?niweke wazi au niende kimyakimya tu?wadau?
Wana jf nimekuja kwenye hili jukwaa naomba mnisaidie,kuna tatizo limenipata kama wiki hivi,kila ninapotakakuchakachuana na shemeji yenu mwanzo jogoo anawika vizuri ila nikianza tu kunanihi ananywea kabisa sasa sijui tatizo ni nini hapo mwanzo ilikuwa shwari kabisa,msaada wenu tafadhari...
Jamani mwenzenu niko njia panda kuna msichana ananipenda sana na amenitamkia waziwazi sasa kwa upande wangu mimi simpendi na kumwambia namuonea huruma na sijawahikuchakachua nae,ila kuna msichana mwingine ninampenda sana lakini yeye hataki nimuoe coz amenizidi umri kidogo kama miaka mitano hivi...
Hivi kwa mfano una demu wako harafu kila mkiwa nae anamsifia sana rafiki yako yaani sifa ambazo wewe hajawahi kukupa hata siku moja,mf atasema rafiki yako nampenda sana mtaratibu huyo atakaeolewa nae atapata raha sana!kama ni ww utafanyaje?
Jamani wakuu mwenzenu nimechoka na hii nyumba,yaani kuna jamaa wa chumba cha pili ikifika mida fulani usiku wakati wanakula tunda wanaanza mikelele nyumba yenyewe haina dari, sijui nfanyeje
Mchango wenu wadau!
Jamani mwenzenu napenda sana kupiga chabo yaani nikiona mwanamke ameingia bafuni au chooni au anavaa nguo lazima nimchungulie yaani nasikia raha sana!mnisaidie niache hii tabia wadau!!
Jamani wadau wa jf mwenzenu nakereka sana na hii tabia ya baadhi ya watu utakuta limtu asubhi na mapema linapiga mswaki nje tena hadharni kabisa limevaa taulo na mtumbo wake lina tema mikohozi hovyo aghh!
jamani wana jf mwenzenu nimejaribu sana lakini naona nashindwa, ngono naipenda sana lakini kutumia kinga siwezi kabisa nikitumia sipati stimu,ushauri wadau!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.