mimi mpnz wangu hata kusubutu kuinua mdomo wake hawezi,....sembese kuniambia,.periodHivi kwa mfano una demu wako harafu kila mkiwa nae anamsifia sana rafiki yako yaani sifa ambazo wewe hajawahi kukupa hata siku moja,mf atasema rafiki yako nampenda sana mtaratibu huyo atakaeolewa nae atapata raha sana!kama ni ww utafanyaje?
mkuu unajua vitu vingine vinawezekana kwa watu wengine na kwa wengine haiwekani kabisaaa,..mpnz wako atakuambiaje upuuzi kama huomhm...mie naona itabidi nianze kujipanga tuu taratibu kwa kupata kibuti!!!!
Igwe sijakuelew hapa bro!ina maana huwa haongei kbs?au?mimi mpnz wangu hata kusubutu kuinua mdomo wake hawezi,....sembese kuniambia,.period
Hivi kwa mfano una demu wako harafu kila mkiwa nae anamsifia sana rafiki yako yaani sifa ambazo wewe hajawahi kukupa hata siku moja,mf atasema rafiki yako nampenda sana mtaratibu huyo atakaeolewa nae atapata raha sana!kama ni ww utafanyaje?
ahahahahaaaaaaaaaaaaa!..da Canta...you made ma day_ni mpnz bubu,...anyway nina maana ataogopa kuniambia hivyo....got it right?Igwe sijakuelew hapa bro!ina maana huwa haongei kbs?au?
yahh! kizuri kipewe sifa zake! bora uyo sio mnafiki,hakupaki mafuta kwa mgongo wa chupaahahahahaaaaaaaaaaaaa!..da Canta...you made ma day_ni mpnz bubu,...anyway nina maana ataogopa kuniambia hivyo....got it right?
mm bora huyo anayenipaka mafuta kwa mgongo wa chupa.yahh! kizuri kipewe sifa zake! bora uyo sio mnafiki,hakupaki mafuta kwa mgongo wa chupa
Igwe sijakuelew hapa bro!ina maana huwa haongei kbs?au?
Sidhani kama una haja ya kupanic sana mkuu..Hivi kwa mfano una demu wako harafu kila mkiwa nae anamsifia sana rafiki yako yaani sifa ambazo wewe hajawahi kukupa hata siku moja,mf atasema rafiki yako nampenda sana mtaratibu huyo atakaeolewa nae atapata raha sana!kama ni ww utafanyaje?
Sidhani kama una haja ya kupanic sana mkuu..
Manake tayari kaishakuondolea mashaka kuwa atakayeolewa naye atapata raha sana..hofu ya nini tena!!..Je? kama hakwambii hivo lakini tayari anamfeel rafiki yako??..
Nadhani sio vizuri kila wakati kufikiri 'negatively'..kwa maana hiyo hata wewe huwezi kumsifia shemejio..mfano:mdogo wako mtulivu sana atakayemuoa kapata mke!!..ina maana huwezi sema hivyo???
mhm...mie naona itabidi nianze kujipanga tuu taratibu kwa kupata kibuti!!!!