ckupatii nega hayo mabao unayojipiga peke yako hapo room wakati wenzio wakifaidiJamani wakuu mwenzenu nimechoka na hii nyumba,yaani kuna jamaa wa chumba cha pili ikifika mida fulani usiku wakati wanakula tunda wanaanza mikelele nyumba yenyewe haina dari, sijui nfanyeje
Mchango wenu wadau!
ahhaaaaaaaaaaaaa wordhama, si hela yako bwana!!!
nna wasiwasi jamaa anapiga sana punka akati akisikia hizo sautickupatii nega hayo mabao unayojipiga peke yako hapo room wakati wenzio wakifaidi
mmh! utawajua tu!Ninavyopenda chabo!! mbona vyumba hivyo huwa cvipatagi .......oyah ukihama nshtue.
Jamani nshalipa kodi ya mwaka kuhama itakuwa ishu.
kwa nini kapanga nyumba isiyo na dari,......anyway pole sana nkulumba angomwilemwambien mwenyenyumba aweke dari mbona shughuli mjomba hiyo kitu inatesaga nimeishi mimi