angomwile
Senior Member
- Sep 10, 2011
- 116
- 62
Jamani mwenzenu niko njia panda kuna msichana ananipenda sana na amenitamkia waziwazi sasa kwa upande wangu mimi simpendi na kumwambia namuonea huruma na sijawahikuchakachua nae,ila kuna msichana mwingine ninampenda sana lakini yeye hataki nimuoe coz amenizidi umri kidogo kama miaka mitano hivi na pia dini ni tofauti na huwa tunachakachua sana sasa cjui nfanyeje,mchango wenu wadau pliz!