Habari zenyu wana jf.nimerudi tena kuomba ushauri kwenu!
Mwenzenu nina mpango wa kuongeza mke wa pili sababu naona ntakonda bure na hii hali ya mke kunipangia ratiba ya kunipa unyumba nashindwa kuvumilia mwenzenu!
Habari zenyu wana jf.nimerudi tena kuomba ushauri kwenu!
Mwenzenu nina mpango wa kuongeza mke wa pili sababu naona ntakonda bure na hii hali ya mke kunipangia ratiba ya kunipa unyumba nashindwa kuvumilia mwenzenu!
Kama kigezo ndio hicho tu umeangalia/zingatia, then probably utakonda zaidi.... Kuna mengine pia ya kuangalia... kama vile uwezo wa kuweza leo hao wake wawili. Jaribu kuongea na mkeok kaka....