He must be in his sweet 16how old are you??????
He must be in his sweet 16
mhhhh umeoa?jamani mwenzenu kuna house girl nampenda sana ila naona aibu kuweka wazi kwa marafiki zangu sababu tu ni hgirl?niweke wazi au niende kimyakimya tu?wadau?
Mwenye nayo aje na copyrights original tuone kama kweli ya kwake sio anatamka tu kwa mdomo kuwa ya kwakeinawezekana..
halafu na wewe hiyo signature
imekuwaje?
una copyrights za mwenyewe?????
duh! i hate dis kind of men.............yani huwez kusimamia maamuzi yako binafsi kwann loh!
mwanaume rijali ni yule asimamiaye maamuzi yake binafsi mweh! ina mana wakikuambia usimfate au mwache kisa hgl utamwacha hata kama ndio heart yako imeozea pale loh!
just try to be a man once in ur damn life
Mwenye nayo aje na copyrights original tuone kama kweli ya kwake sio anatamka tu kwa mdomo kuwa ya kwake
Hahahahahaha!!!! Boss Boss Boss Boss tafadhali banaa ngoja ninywe kahawa yangu hapaha ha haa
exactly huo ujumbe ni kwa yupi?
among them? lol
Housegirl ana tofauti gani na mwanamke mwingine......?
Dogo anadhani wanawake wako tofauti kati ya waigizaji(Preta)na mahausigel.Mapenzi hayachagui kabila. Siku hizi Muzungu Muchina huwoana,Mjapanise Muafrika vilevile. Uzuri wa mwanamke si urembo ni tabia ah! Nalog offHousegirl ana tofauti gani na mwanamke mwingine......?