Una umri gani mkuu?
Kila mmoja ana uhuru/haki ya kutoa mawazo yake lakini haki huenda na wajibu, unawajibika kujua unaongea na nani na kwa wakati gani na hivyo unatakiwa kuangalia mantiki ya kile unachoongea.
Samahani kwa kusema swali lako ni la kitoto sana na la kijiweni.
Naona JF imekuwa too diplomatic au Mods wana huruma sana!!