Kiswahili hapo kimekuwa kigumu aisee
Nnachomaanisha...bomba linalotoa maji machafu ya chooni kutoka kwenye nyumba kwenda kwenye shimo la choo kwa kawaid huwa tunalichimbia chini..yani huwa inapita chini kwa chini hd kwenye shimo
Sasa shida ni kuwa kpnd cha mvua maji yakiwa mengi kwenye shimo...
Nishawahi kupost hii inshu..pitia post zangu ila kwa kifupi tu ndugu
Usiingie gharama kubwaaaaa,fanya hivi
Bomba linalotoa maji ndani kupeleka kwenye shimo usilichimbie chini...lifanye limwage maji kwa juu ya shimo..yani kama vile maji ya bomba la mvua bafuni yanavyomwagika,sasa bomba lako...
Katika baa moja nchini Marekani aliingia mwanamme mmoja MZUNGU na kukuta bar ina watu wengi sana na imejaa WAZUNGU TUPU kasoro mmama mmoja ambaye alikuwa BLACK..yule jamaa baada ya kuingia akasema kwa nguvu sana "Bartender,wahudumie vinywaji watu wote katika hii bar kasoro huyu mama...
Miaka hiyo muigizaji Sylvester stallon "RAMBO" alipitia msoto wa kufa mtu katika maisha yake,alifulia vibaya mno hadi kufikia hatua ya kuiba mkufu wa mke wake na kwenda kuuza..kama hiyo haitoshi ilifikia hatua alishindwa kumlisha mbwa wake aliyekuwa anampenda sana na kuamua kwenda kumuuza kwa...
Huo upuuz ulinishinda..nimekuja kikazi dsm kama miezi 9 hv..kazini ni kawe then mm nimejenga kwa diwani(ukonga)
ilikuwa inanibidi niamke saa 11 kasoro kuwah gari...na kazini nafika sa 2 kasoro huko..nikaoma hapana...nikaanza kwenda na kagari binafsi...kwa siku mafuta ya 20k yalikuwa...
Wabongo bwana..sijui mnaona hizo kazi ndogo hazina hela ama vpi...mnadhan kukaa ofisin kuvaa vizuri ndo kuwa na hadhi inayoendana na elimu yako?...na ndo maana wasomi wengi wanaogopa kufanya vikazi hv vidogovidogo wanaogopa kudhalilika
Kuna dogo mmoja nipo nae pale mtaani..ni form 4...
Yan hiki kikosi hata sikielew...Kwa nn anamchezesha amrabat bek ya kushoto?kwa nn asicheze na beki 3 then amrabat asogee kati...ila kocha anajua zaidi...ngoja tuone
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.