African Geek
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 795
- 1,409
Nilikua bado mdogo bro ila ndo nilikua naanza mitikasi. Kutokana na changamoto za umbali, usafiri kuwa tabu na foleni, nikampa wazo hiloKwanini unamshauri babaako ahame kwake wakati wewe umeshindwa kutafuta kwako bado unaishi kwake