lushotokwetu
New Member
- Jul 29, 2015
- 4
- 3
Mpigie huyu Fundi +255786549131 atakusaidia sanaNilichimba shimo la choo kipindi cha kiangazi lilikua fresh tu na likafunikwa juu, tatizo imeanza kipindi cha masika maji yanatokea chini na shimo linajaa maji.
Wataalam tusaidiane hapo nitumie njia gani?
NB: Chini halijapigwa zege limejengewa pembeni tu kwa mawe