Epuka kukata tamaa

Epuka kukata tamaa

Simbamteme

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2011
Posts
808
Reaction score
2,169
Miaka hiyo muigizaji Sylvester stallon "RAMBO" alipitia msoto wa kufa mtu katika maisha yake,alifulia vibaya mno hadi kufikia hatua ya kuiba mkufu wa mke wake na kwenda kuuza..kama hiyo haitoshi ilifikia hatua alishindwa kumlisha mbwa wake aliyekuwa anampenda sana na kuamua kwenda kumuuza kwa dola 25 tu na kwa maelezo yake baada ya kumuuza aliondoka huku analia..mambo yaliendelea kuwa magumu,alishindwa kulipa kodi ya pango hivyo ikamlazimu alale siku 3 kweye kituo cha mabasi cha New York

FAST FORWARD, wiki mbili baadaye aliona mechi ya BOXING kati ya Muhamed Ally na Chuck Wepner..Mechi hiyo ilimpa hamasa ya kuandika Script ya movie ambayo ilikuja kuwa 'Famous' sana ya 'ROCKY'

Unaambiwa aliiandika script ya movies hiyo kwa masaa 20..alijaribu kwenda kwenye makampuni ya kutengeneza filamu kwa ajili ya kuiuza na akabahatika kupata ofa ya dola 125000 ..lakini yeye alikuwa na OMBI moja tu..awe STERLING kwenye movie hiyo,bahati mbaya kampuni ikamkatalia,kampuni ilitaka "The real star",kumbuka kipindi hicho rambo alikuwa ni underground tu..je,ingekuwa wewe ungeiachia hela iende hivihivi wakati shida zimekuzidi?

Rambo aliwakatalia na kusepa na Script yake,wiki chache mbele studio ile ile ikampigia simu na kumpa ofa ya dola 250000 kwa script lakini akakataa,msimamo wake ulikuwa uleule,yeye awe STERLING..wakamuongezea ofa ya dola 350000 lakini jamaa bado akashikilia msimamo wake

Baada ya muda kidogo kupita studio ikakubali ombi lake na kumpa ofa ya dola 35000 tu..embu fikiria kutoka dola 350000 mpaka dola 35000,ungekuwa wewe ungeweza?

Kilichofata ni historia..filamu ya "ROCKY" ilishinda tuzo kibao ikiwemo "best picture" "best directing" na "best film editing" na pia RAMBO alichaguliwa kugombea for BEST ACTOR..pia filamu hiyo iliingizwa kwenye "American National Film Registry" kama moja ya filamu bora sana kuwahi kutokea.

Jamaa baada ya kupewa ile dola 35000 alienda kumnunua mbwa wake aliyemuuza kwa dola 25..mbwa huyo yupo nae kwenye filamu hiyo!

Moral of the story: Hakuna mtu anayeweza kuamini uwezo wako zaidi ya wewe mwenyewe
 
Ukiacha na Rocky kimsingi pia alikuja kunikosha sana na ile simulizi ya John Rambo ambayo aliitengenezea Rambo : first blood, Rambo II, Rambo III akiwa na Richard Crena (colonel Sam Trumann) ikafuata Rambo IV hadi Last blood ni mtiririko ambao unavutia sana.
 
Miaka hiyo muigizaji Sylvester stallon "RAMBO" alipitia msoto wa kufa mtu katika maisha yake,alifulia vibaya mno hadi kufikia hatua ya kuiba mkufu wa mke wake na kwenda kuuza..kama hiyo haitoshi ilifikia hatua alishindwa kumlisha mbwa wake aliyekuwa anampenda sana na kuamua kwenda kumuuza kwa dola 25 tu na kwa maelezo yake baada ya kumuuza aliondoka huku analia..mambo yaliendelea kuwa magumu,alishindwa kulipa kodi ya pango hivyo ikamlazimu alale siku 3 kweye kituo cha mabasi cha New York

FAST FORWARD, wiki mbili baadaye aliona mechi ya BOXING kati ya Muhamed Ally na Chuck Wepner..Mechi hiyo ilimpa hamasa ya kuandika Script ya movie ambayo ilikuja kuwa 'Famous' sana ya 'ROCKY'

Unaambiwa aliiandika script ya movies hiyo kwa masaa 20..alijaribu kwenda kwenye makampuni ya kutengeneza filamu kwa ajili ya kuiuza na akabahatika kupata ofa ya dola 125000 ..lakini yeye alikuwa na OMBI moja tu..awe STERLING kwenye movie hiyo,bahati mbaya kampuni ikamkatalia,kampuni ilitaka "The real star",kumbuka kipindi hicho rambo alikuwa ni underground tu..je,ingekuwa wewe ungeiachia hela iende hivihivi wakati shida zimekuzidi?

Rambo aliwakatalia na kusepa na Script yake,wiki chache mbele studio ile ile ikampigia simu na kumpa ofa ya dola 250000 kwa script lakini akakataa,msimamo wake ulikuwa uleule,yeye awe STERLING..wakamuongezea ofa ya dola 350000 lakini jamaa bado akashikilia msimamo wake

Baada ya muda kidogo kupita studio ikakubali ombi lake na kumpa ofa ya dola 35000 tu..embu fikiria kutoka dola 350000 mpaka dola 35000,ungekuwa wewe ungeweza?

Kilichofata ni historia..filamu ya "ROCKY" ilishinda tuzo kibao ikiwemo "best picture" "best directing" na "best film editing" na pia RAMBO alichaguliwa kugombea for BEST ACTOR..pia filamu hiyo iliingizwa kwenye "American National Film Registry" kama moja ya filamu bora sana kuwahi kutokea.

Jamaa baada ya kupewa ile dola 35000 alienda kumnunua mbwa wake aliyemuuza kwa dola 25..mbwa huyo yupo nae kwenye filamu hiyo!

Moral of the story: Hakuna mtu anayeweza kuamini uwezo wako zaidi ya wewe mwenyewe
Hii story nikiunganisha na wakati iliyopitia tmu ya Taifa ya ivory Coast nazidi kupata nguvu ya kupambana

Kukata tamaa ni mwiko katika maisha
 
Ukiacha na Rocky kimsingi pia alikuja kunikosha sana na ile simulizi ya John Rambo ambayo aliitengenezea Rambo : first blood, Rambo II, Rambo III akiwa na Richard Crena (colonel Sam Trumann) ikafuata Rambo IV hadi Last blood ni mtiririko ambao unavutia sana.
Kusema ulweli rambo zote Rambo iv kwangu ndio moto zaidi
 
Rest in Peace Apollo Creed

1708126190952.png
 
Back
Top Bottom