Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 5,535
- 17,786
Ndio shida iliopo hii, kupenda ku force watu wafanane..Mkuu tofautisha lugha na ujuzi, kujua kuendesha gari ni ujuzi, kujua kingereza sio ujuzi.
Kama kujua kingereza kungekua na faida, wa south Afrika wote wangekua wameajiriwa ama wanigeria ama hata wakenya.
Nachosema, kwa ulimwengu wa sasa, lugha haihawahi kua kikwazo cha mtu kufanikiwa na pia isiwe kigezo cha kumpeleka mtoto shule, kuwe na additional skills ambayo mtoto ataipata hata bila kujua kingereza hiyo itakua na value kubwa sana kwenye maisha yake kuliko kujua kingereza.
Leo ukienda gereji, gari nyingi zinatengenezwa na vijana ambao hawakumaliza hata form 4, hawajui kingereza ila wana ujuzi. Vijana wanakuja kutoka st Patrick wanajua kingereza ila hata ujuzi tu wa kubadilisha taa ya umeme imeungua hawana, hii ni hasara.
Tufanye bas mtoto katoka kwenye bas la njano kaemda gereji, na mwingine katoka alikotoka kaenda gereji. Haya lete maneno hapo!!.
I think la muhim sana ni kiwafunza watoto ku discover their purpose and talents.
Na sis kama wazaz tuwatengenezee mazingira ku favour klle wanacho taman kufanya wakiwa wakubwa.
Ukilijua hil wala hutakaa kubishanamijadala hii.
Maisha si mashindano