Search results

  1. S

    Jifunze hivi, ukitaka kufanya biashara kipindi cha Corona

    Habari za Kwako Mwana Jamii Mwenzangu! Natumaini upo poa na unaendelea kujikinga na Corona iliyokuja kwa kasi 2020, Natumaini Mungu atatuvusha! Wakati China wakiwa wamefunga milango yao na wamerudi makazini na shughuli zikiwa zinaendelea kama kawaida ( masks, sanitizers, kupimwa joto la mwili...
  2. S

    Msaada na ushauri jinsi ya kuagiza vifaa vya umeme China

    Unaweza Kuagiza online ukiwa Tanzania. Cha msingi ni kufata tarabibu zote za kununua ukiwa mbali ya nchi. Kuhusu Corona, China wamerudi makazini kama kawaida na sio kua hali imekaa 100% kama zamani lakini wamevuka 90% na haifahamiki lini watafungua milango ninadhani mpaka kupoe sana sehemu ya...
  3. S

    Unafanyeje biashara kipindi hiki cha Corona?

    Habari za Kwako Mwana Jamii Mwenzangu! Natumaini upo poa na unaendelea kujikinga na Corona iliyokuja kwa kasi 2020, Natumaini Mungu atatuvusha! Wakati China wakiwa wamefunga milango yao na wamerudi makazini na shughuli zikiwa zinaendelea kama kawaida ( masks, sanitizers, kupimwa joto la mwili...
  4. S

    Tusaidiane! Kosa linakuwa wapi kununua mtandaoni?

    Wiki Iliyopita nimepigiwa simu na Rafiki yangu akihitaji msaada namna ninavyoweza kupata suluhisho ya jambo limetokea kwenye kampuni "Y" ambayo ni ya rafiki yake juu ya manunuzi waliyofanya mtandaoni. Case ilikua kama hivi, Kampuni Y ya Tanzania ilikua inahitaji kemikali yenye form ya powder...
  5. S

    Ushauri unaponunua vitu kutoka China ( Alibaba)

    kwa vitu vidogo ambavyo chini ya kg 10 tunatumia sana usafiri wa ndege, kidogo ni ghali japo ndani ya siku 7-9 tunakua tumepata mzigo hapa Tanzania, gharama dola 7.8 /kg na ukifika hapa ni dola 3.
  6. S

    Ushauri unaponunua vitu kutoka China ( Alibaba)

    Silent ocean si kampuni pekeyao wanaofanya mzigo kuja Tanzania, kuna Choice International, na wengine, pia silent ocean wanafanya loose cargo jaribu kuongea wahusika directly. asante
  7. S

    Ushauri unaponunua vitu kutoka China ( Alibaba)

    Ntwa A. Katule, Asante sana, very insightful!
  8. S

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Habari Watanzania, Heri ya miaka 58 ya uhuru! Bila kupoteza muda ngoja tuongee namna ya kununua vitu kutoka nchini China hasa kupitia platform ya Alibaba (Made in China). Kwanza kabisa Alibaba sio platform peke yake ya kuweza kununua vitu nchini China kuna platforms kama Global sources...
  9. S

    Ushauri unaponunua vitu kutoka China ( Alibaba)

    Habari Watanzania, Heri ya miaka 58 ya uhuru! Bila kupoteza muda ngoja tuongee namna ya kununua vitu kutoka nchini China hasa kupitia platform ya Alibaba ( Made in China) Kwanza Kabisa Alibaba sio platform peke yake ya kuweza kununua vitu nchini China kuna platforms kama Global sources...
  10. S

    Mwongozo wa ufugaji wa kuku wa nyama (Broiler)

    Machine ya kuondoa manyoya Nicontact hapa kama unahitaji
  11. S

    Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

    Kama unahitaji machine ya kutoa kuku manyoya inapatikana hapa.
  12. S

    Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Kama unataka kunyonyoa kuku wako kwa haraka zaidi na kutumia njia rahisi na haraka. Kama unahitaji wasiliana nami.
  13. S

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Machine hii inaweza kukusaidia kutoa manyoya kuku wako kwa haraka zaidi. Kunyonyoa kuku 90-120 kwa saa na haichukui umeme mwingi kabisa. Kama unahitaji niconnect. Asanteni
Back
Top Bottom