Hili halina ubishi huyu jamaa anatalanta ya kipekee sana
Licha ya kuwa hana uwezo Wa kuona tangu kuzaliwa kwake (KIPOFU) Lakini anauwezo MKUBWA Wa kupiga vyombo vingi vya mziki
Sauti yake ni ya kipekee na ya tofauti sana hafanani na mwanamziki yoyote yule
Reuben kigame ni mkenya anaishi...
Wakuu ile show ambayo nilikuwa ikingojewa kwa hamu kubwa imeanza sasa EAST AFRICA GOT TALENT 2019
Mashindano haya yakusaka vipaji yanafanyika nchini Kenya nakurushwa na baadhi ya television CLOUDS TV /CITIZEN TV /UGANDA TV nk
Kama ulimiss basi cheki episode ya kwanza ya huyu mtoto Wa miaka 7...
Wakuu mambo vipi ile movie ya sister marry iliyofungiwaga na body ya filamu Tanzania
Kisa haina maadili inadhalilisha kanisa katoliki hatimaye imeachiwa huru
Daaah! Movie moja kaliii sana
Humu ndani yupo
Irene uwoya/johari/ray
Imetengenezwa na kampuni ya RJ company (ray&johari
Fridge inauzwa haina tatizo lolote
Ni frijii aina hot point
Ipo arusha
Bei 550k (mazungumzo yapo)
Kwa maelezo zaidi
Au piga simu namba 0753 315 521
Kaibuni
For sale Subaru forester new model 2008 inauzwa
Ipo arusha kwaanaye hitaji tuwasiliane
Bei: Mil 24
Tafadhali kwa maelezo zaid njoo
Au phone number +255 757 191 906
PM
+255 757 191 906
Nichukue wasaa huu kukuarika rasmi ewe mpenzi na mfuatiliaji wa THREAD zangu naomba nichukue walau dakika zako chache niweze kukueleza kinagaubaga ni kwa jinsi gani unaweza kupunguza mwili wako kwa kutumia hatua zifuatavyo:
1. Zingatia muda wa kula.
Watalamu wa masuala ya afya wanasema muda...
Wakuu mko pow?
Nadhani nipo jukwaa sahihi
Wakuu nimeitafuta hii movie bila mafanikio tafadhali anaye ifahamu naomba aniambie hii movie inaitwaje jina tuu latosha mimi nitaifuta online
Natanguliza shukrani! [emoji120][emoji120]
Sent from my TECNO WX3 using Tapatalk
Sinilipita mitaa ya ungalimited chuga basi bwana mambo yalikuwa kama hivi...
Si te pido un beso, ven, dámelo
Yo sé que estás pensándolo
Llevo tiempo intentándolo
Mami, esto es dando y dándolo
Sabes que tu corazón conmigo te hace "bam-bam"
Sabes que esa beba está buscando de mi...
Korea kusini, ndio nchi inayo ongoza Duniani kwa Raia wake kufanya plastic surgery (matengenezo ya mwili), ili kuleta muonekano mzuri kwao. Hii picha imekuwa gumzo sana mitandaoni, kutokana na wanawake hawa kufanya matengenezo ya mwili ili kuwa na muonekano mzuri Unaambiwa katika hii picha uyo...
HOMA YA INI (HEPATITIS B)
Kwa tafiti chache zilizofanyika mpaka sasa imegundulika kuwa kati ya watu 117 ni mtu 1 tu anakuwa ameathirika na virusi vya UKIMWI/VVU lakini ni watu 22 wanakuwa wameathirika na HOMA YA INI sawa na asilimia 18.8% lakini pia vifo vinavyosababishwa na homa ya ini kwa...
JINSI YA KUFAHAMU KAMA ACCOUNT YAKO YA FACEBOOK INADUKULIWA.
Njia hii haitakupatia jina la mdukuaji, bali kutambua kama unadukuliwa kulingana na aina ya simu au kifaa unachotumia kuperuzi facebook.
FANYA HIVI
Nenda juu kabisa kwenye facebook yako, upande wa kulia kabisa, hapo kuna vimistari...
Habari zenu wanajamii Mimi ni member kutoka Tanzania naomba niwakumbushe kuhusu bunge LA Kenya
Bunge la Taifa ni chumba cha chini cha Bunge la Kenya. Kabla ya Bunge la 11, hilo lilikuwa bunge la chumba kimoja, na mpaka mwaka 1966 la vyumba viwili.
Lina jumla ya viti 349: kati yake, 290 ni vya...
STORY-PENZI LA MSHUMAA
MTUNZI-FREDIRICK M.MZIRAY
SEHEMU YA 1
Malumbano yaliendelea kati ya Denis na wazazi wake pale nyumbani kwao.Mzee Mwamba na mkewe Bi Asma hawakutaka kabisa Denis amuoe Shaimaa.Walisisitiza kuwa msichana huyo hakuwa na sifa za kuwa mke wa kijana wao.Hivyo walimshupalia Denis...
****Tafakari ya leo******
"WASOMI" NA NDOTO ZA ABUNUASI
Hebu vuta picha,namna ulivyosota kuipata hiyo degree yako. Miaka isiyopungua 16 imeteketea darasani! Umebeba vidumu na ufagio kama wafagiaji wa jiji ukiwa shule msingi.
Umepiga jaramba maili kadhaa kuifata shule.Umekumbana na kashkashi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.