wanaume hata tukiwa na wanawake wengine hatuachi wale wa Mwanzo kwaiyo ishu ni kwamba mambo yakiharibika unaegemea sehemu sahihii
Sent using Jamii Forums mobile app
Haitoshi lazima aelekezwe ukweli, uwezi kumfananisha Dube na Marley kila mtu aliwika kwa zama zake na kila mtu ana vibes zake Bob ni mkubwa na Lucky ni mkubwa pia wote walifanya kazi nzuri kwenye ulimwengu wa reggae,
Lucky aliinogesha reggae na vionjo vya Africa, nampenda zaidi Dube ila ukweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.