Wangekuwa na akili wasingeshangilia kujengwa kwa barabara ya lami ya km 11 kupitia kwa JK eti kukwepa foleni Chalinze!?Chalinze ilikua na mama mbunge, mtoto mbunge na baba rais matatizo hayakuisha leo ndio yaje yaishe?
Ccm hata wakipewa hii nchi miaka 500 hakuna kitu watakachofanya cha maana kikaonekana.
Tuendelee kufanya uchaguzi kwa mazoea tu ila kitu kinaitwa maendeleo ni ndoto za alinacha.
Zikatimu amesoma chuo gani?Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwan Kikwete anapumulia mashine Jimboni kutokana na hali mbaya ya kisiasa uchaguzi mkuu 2020 hali inayomfanya ashindwe kuhudhuria bunge la bajeti na kuweka kambi Jimboni kufanya kampeni .
Ridhiwan Kikwete amekosa uungwaji mkono kutokana na utendaji wake dhaifu na kushindwa kutelekeza ahadi alizotoa kwa wananchi wakati anachaguliwa mwaka 2015 . Utekelezaji wa ahadi zake ni sawa na asilimia 0.00000 , wakati anachaguliwa alitoa ahadi kumi zilizowavutia wananchi wakiamini huyu ni mtoto wa Rais hakuna kinachoshindikana , ahadi hizo ni ;
1. Kuifanya Chalinze kuwa Dubai
2. Kujenga soko la kimataifa
3. Kujenga stendi ya kisasa
4. Kugawa trekta moja kila kijiji
5. Kujenga uwanja wa mpira wa kisasa
6. Kutoa Ambulance moja kila kata
7. Kuwawezesha vijana wa bodaboda
8. Kuwawezesha wanawake
9. Kuwapa studio ya kisasa wasanii
10. Tatizo la maji kuwa historia
Mbunge huyo kwa Sasa ameacha vikao vya bunge na kujichimbia kuzunguka Jimboni kukutana na wajumbe wa mkutano mkuu akiwafuata na kufanya vikao , amenukuliwa akiwaomba msamaha ili aungwe mkono tena wakati wa kura za maoni . Kila anakopita wajumbe wamemhoji kwa ujasiri MWENZETU UMEKUJA KUAGA ? ULIKUWA WAPI MIAKA YOTE ? KWANINI HUPOKEI SIMU ZA WANANCHI ? OFISI YAKO IKO WAPI ?UMEFANYA NINI MIAKA MITANO ? KWANINI HAUKO BUNGENI NA BADALA YAKE UNAZURURA HUKU ?
Kwa hali ya kisiasa ilivyo Ridhiwan Kikwete hawezi kutetea nafasi yake kwakuwa hakuna alichokifanya , alitelekeza Jimbo kwa muda mrefu , pia anaponzwa kwa dharau na kiburi chake .
WANAOMNYIMA USINGIZI
kwa mujibu wa duru za siasa za Chalinze Kuna watia nia wawili wanaomfanya Ridhiwan Kikwete akose usingizi na kuhaha kama faru aliyejeruhiwa , watia nia hao ni pamoja na ;
1. SAIDI ZIKATIMU, huyu ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chalinze anayetajwa kufanya kazi nzuri ya kusimamia Halmashauri kukusanya mapato ya kutosha na kutelekeza miradi mingi ya maendeleo kwa kutumia mapato ya ndani ikiwemo sekta ya Elimu , Afya na kutoa mikopo kwa wanawake na vijana .
ZIKATIMU anatajwa kufanya kazi nzuri mithili ya mbunge ikiwemo kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua na amekuwa kimbilio la wananchi wengi hivyo kuonekana anafaa kuinuliwa kuwa mbunge wa Jimbo la Chalinze ili aweze kuwatumikia wananchi.
2. RAMADHANI MANENO ; huyu ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Pwani na mbunge wa zamani wa Jimbo la Chalinze 2005-2010 . Maneno anatajwa kutia nia kugombea Ubunge kurejea kwenye kiti chake baada ya miaka kumi aliposhindwa kwenye uchaguzi wa kura za maoni ndani ya chama mwaka 2010 .
Jimbo limewaka moto !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mwanasheria lakini sijui kama amewahi kuingia hata mahakama ya mwanzo kutetea mwizi wa kuku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zikatimu anaonekana mkongwe, na kabarikiwa kuwa na hekima.Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwan Kikwete anapumulia mashine Jimboni kutokana na hali mbaya ya kisiasa uchaguzi mkuu 2020 hali inayomfanya ashindwe kuhudhuria bunge la bajeti na kuweka kambi Jimboni kufanya kampeni .
Ridhiwan Kikwete amekosa uungwaji mkono kutokana na utendaji wake dhaifu na kushindwa kutelekeza ahadi alizotoa kwa wananchi wakati anachaguliwa mwaka 2015 . Utekelezaji wa ahadi zake ni sawa na asilimia 0.00000 , wakati anachaguliwa alitoa ahadi kumi zilizowavutia wananchi wakiamini huyu ni mtoto wa Rais hakuna kinachoshindikana , ahadi hizo ni ;
1. Kuifanya Chalinze kuwa Dubai
2. Kujenga soko la kimataifa
3. Kujenga stendi ya kisasa
4. Kugawa trekta moja kila kijiji
5. Kujenga uwanja wa mpira wa kisasa
6. Kutoa Ambulance moja kila kata
7. Kuwawezesha vijana wa bodaboda
8. Kuwawezesha wanawake
9. Kuwapa studio ya kisasa wasanii
10. Tatizo la maji kuwa historia
Mbunge huyo kwa Sasa ameacha vikao vya bunge na kujichimbia kuzunguka Jimboni kukutana na wajumbe wa mkutano mkuu akiwafuata na kufanya vikao , amenukuliwa akiwaomba msamaha ili aungwe mkono tena wakati wa kura za maoni . Kila anakopita wajumbe wamemhoji kwa ujasiri MWENZETU UMEKUJA KUAGA ? ULIKUWA WAPI MIAKA YOTE ? KWANINI HUPOKEI SIMU ZA WANANCHI ? OFISI YAKO IKO WAPI ?UMEFANYA NINI MIAKA MITANO ? KWANINI HAUKO BUNGENI NA BADALA YAKE UNAZURURA HUKU ?
Kwa hali ya kisiasa ilivyo Ridhiwan Kikwete hawezi kutetea nafasi yake kwakuwa hakuna alichokifanya , alitelekeza Jimbo kwa muda mrefu , pia anaponzwa kwa dharau na kiburi chake .
WANAOMNYIMA USINGIZI
kwa mujibu wa duru za siasa za Chalinze Kuna watia nia wawili wanaomfanya Ridhiwan Kikwete akose usingizi na kuhaha kama faru aliyejeruhiwa , watia nia hao ni pamoja na ;
1. SAIDI ZIKATIMU, huyu ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chalinze anayetajwa kufanya kazi nzuri ya kusimamia Halmashauri kukusanya mapato ya kutosha na kutelekeza miradi mingi ya maendeleo kwa kutumia mapato ya ndani ikiwemo sekta ya Elimu , Afya na kutoa mikopo kwa wanawake na vijana .
ZIKATIMU anatajwa kufanya kazi nzuri mithili ya mbunge ikiwemo kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua na amekuwa kimbilio la wananchi wengi hivyo kuonekana anafaa kuinuliwa kuwa mbunge wa Jimbo la Chalinze ili aweze kuwatumikia wananchi.
2. RAMADHANI MANENO ; huyu ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Pwani na mbunge wa zamani wa Jimbo la Chalinze 2005-2010 . Maneno anatajwa kutia nia kugombea Ubunge kurejea kwenye kiti chake baada ya miaka kumi aliposhindwa kwenye uchaguzi wa kura za maoni ndani ya chama mwaka 2010 .
Jimbo limewaka moto !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha ha ha ha eti chalinze iwe dubai wale wamasai angewapeleka wapiHiyo ahadi ya kuifanya Chalinze kua Dubai mnamuonea tu bure LIZIWANI.
Labda akagombee Chato, Ndiko inakotekelezeka.
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha ha ha ha eti chalinze iwe dubai wale wamasai angewapeleka wapi
Ridhiwani bado mdogo, ana elimu na amepata uzoefu wa uwongozi kupitia Bunge CV imetulia. Akikosa ubunge ana options nyingine.
Riziki mafungu saba.
Hamna anachokitafuta ambacho hajawahi kukipata, akae tu pembeni aache kubembeleza watu, kwa kuwa hata ajae hawezi tekeleza hayo, naujinga kumchagua mtu kwa ahadi za NDIO MZEE!Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwan Kikwete anapumulia mashine Jimboni kutokana na hali mbaya ya kisiasa uchaguzi mkuu 2020 hali inayomfanya ashindwe kuhudhuria bunge la bajeti na kuweka kambi Jimboni kufanya kampeni .
Ridhiwan Kikwete amekosa uungwaji mkono kutokana na utendaji wake dhaifu na kushindwa kutelekeza ahadi alizotoa kwa wananchi wakati anachaguliwa mwaka 2015 . Utekelezaji wa ahadi zake ni sawa na asilimia 0.00000 , wakati anachaguliwa alitoa ahadi kumi zilizowavutia wananchi wakiamini huyu ni mtoto wa Rais hakuna kinachoshindikana , ahadi hizo ni ;
1. Kuifanya Chalinze kuwa Dubai
2. Kujenga soko la kimataifa
3. Kujenga stendi ya kisasa
4. Kugawa trekta moja kila kijiji
5. Kujenga uwanja wa mpira wa kisasa
6. Kutoa Ambulance moja kila kata
7. Kuwawezesha vijana wa bodaboda
8. Kuwawezesha wanawake
9. Kuwapa studio ya kisasa wasanii
10. Tatizo la maji kuwa historia
Mbunge huyo kwa Sasa ameacha vikao vya bunge na kujichimbia kuzunguka Jimboni kukutana na wajumbe wa mkutano mkuu akiwafuata na kufanya vikao , amenukuliwa akiwaomba msamaha ili aungwe mkono tena wakati wa kura za maoni . Kila anakopita wajumbe wamemhoji kwa ujasiri MWENZETU UMEKUJA KUAGA ? ULIKUWA WAPI MIAKA YOTE ? KWANINI HUPOKEI SIMU ZA WANANCHI ? OFISI YAKO IKO WAPI ?UMEFANYA NINI MIAKA MITANO ? KWANINI HAUKO BUNGENI NA BADALA YAKE UNAZURURA HUKU ?
Kwa hali ya kisiasa ilivyo Ridhiwan Kikwete hawezi kutetea nafasi yake kwakuwa hakuna alichokifanya , alitelekeza Jimbo kwa muda mrefu , pia anaponzwa kwa dharau na kiburi chake .
WANAOMNYIMA USINGIZI
kwa mujibu wa duru za siasa za Chalinze Kuna watia nia wawili wanaomfanya Ridhiwan Kikwete akose usingizi na kuhaha kama faru aliyejeruhiwa , watia nia hao ni pamoja na ;
1. SAIDI ZIKATIMU, huyu ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chalinze anayetajwa kufanya kazi nzuri ya kusimamia Halmashauri kukusanya mapato ya kutosha na kutelekeza miradi mingi ya maendeleo kwa kutumia mapato ya ndani ikiwemo sekta ya Elimu , Afya na kutoa mikopo kwa wanawake na vijana .
ZIKATIMU anatajwa kufanya kazi nzuri mithili ya mbunge ikiwemo kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua na amekuwa kimbilio la wananchi wengi hivyo kuonekana anafaa kuinuliwa kuwa mbunge wa Jimbo la Chalinze ili aweze kuwatumikia wananchi.
2. RAMADHANI MANENO ; huyu ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Pwani na mbunge wa zamani wa Jimbo la Chalinze 2005-2010 . Maneno anatajwa kutia nia kugombea Ubunge kurejea kwenye kiti chake baada ya miaka kumi aliposhindwa kwenye uchaguzi wa kura za maoni ndani ya chama mwaka 2010 .
Jimbo limewaka moto !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri huyu mleta uzi anajifurahisha tu..................Hakuna wa kumtoa ridhiwani Chalinze hilo haliwezekani na halitawezekana
Sent using Jamii Forums mobile app
Moja la kosa wanalofanyaga Chama chetu CCM ni kuamini Hawa watoto wa viongozi kuwa nao Watakuwa viongozi bora. That's a wrong perception. Hata Kalenga walimuweka mtoto wa Marehemu Mgimwa, Yule jamaa hopeless kabisa kabaki kufuga midevu. CCM mpya ya Magufuli Nadhani Mtego huu watauteguaMbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwan Kikwete anapumulia mashine Jimboni kutokana na hali mbaya ya kisiasa uchaguzi mkuu 2020 hali inayomfanya ashindwe kuhudhuria bunge la bajeti na kuweka kambi Jimboni kufanya kampeni .
Ridhiwan Kikwete amekosa uungwaji mkono kutokana na utendaji wake dhaifu na kushindwa kutelekeza ahadi alizotoa kwa wananchi wakati anachaguliwa mwaka 2015 . Utekelezaji wa ahadi zake ni sawa na asilimia 0.00000 , wakati anachaguliwa alitoa ahadi kumi zilizowavutia wananchi wakiamini huyu ni mtoto wa Rais hakuna kinachoshindikana , ahadi hizo ni ;
1. Kuifanya Chalinze kuwa Dubai
2. Kujenga soko la kimataifa
3. Kujenga stendi ya kisasa
4. Kugawa trekta moja kila kijiji
5. Kujenga uwanja wa mpira wa kisasa
6. Kutoa Ambulance moja kila kata
7. Kuwawezesha vijana wa bodaboda
8. Kuwawezesha wanawake
9. Kuwapa studio ya kisasa wasanii
10. Tatizo la maji kuwa historia
Mbunge huyo kwa Sasa ameacha vikao vya bunge na kujichimbia kuzunguka Jimboni kukutana na wajumbe wa mkutano mkuu akiwafuata na kufanya vikao , amenukuliwa akiwaomba msamaha ili aungwe mkono tena wakati wa kura za maoni . Kila anakopita wajumbe wamemhoji kwa ujasiri MWENZETU UMEKUJA KUAGA ? ULIKUWA WAPI MIAKA YOTE ? KWANINI HUPOKEI SIMU ZA WANANCHI ? OFISI YAKO IKO WAPI ?UMEFANYA NINI MIAKA MITANO ? KWANINI HAUKO BUNGENI NA BADALA YAKE UNAZURURA HUKU ?
Kwa hali ya kisiasa ilivyo Ridhiwan Kikwete hawezi kutetea nafasi yake kwakuwa hakuna alichokifanya , alitelekeza Jimbo kwa muda mrefu , pia anaponzwa kwa dharau na kiburi chake .
WANAOMNYIMA USINGIZI
kwa mujibu wa duru za siasa za Chalinze Kuna watia nia wawili wanaomfanya Ridhiwan Kikwete akose usingizi na kuhaha kama faru aliyejeruhiwa , watia nia hao ni pamoja na ;
1. SAIDI ZIKATIMU, huyu ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chalinze anayetajwa kufanya kazi nzuri ya kusimamia Halmashauri kukusanya mapato ya kutosha na kutelekeza miradi mingi ya maendeleo kwa kutumia mapato ya ndani ikiwemo sekta ya Elimu , Afya na kutoa mikopo kwa wanawake na vijana .
ZIKATIMU anatajwa kufanya kazi nzuri mithili ya mbunge ikiwemo kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua na amekuwa kimbilio la wananchi wengi hivyo kuonekana anafaa kuinuliwa kuwa mbunge wa Jimbo la Chalinze ili aweze kuwatumikia wananchi.
2. RAMADHANI MANENO ; huyu ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Pwani na mbunge wa zamani wa Jimbo la Chalinze 2005-2010 . Maneno anatajwa kutia nia kugombea Ubunge kurejea kwenye kiti chake baada ya miaka kumi aliposhindwa kwenye uchaguzi wa kura za maoni ndani ya chama mwaka 2010 .
Jimbo limewaka moto !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwez jua labda baba yake alipo kua anamaliza alimkabidhi. Kwa Magufuli ili amsaidie kutimiza alio ahid siunajua CCM ilio kua ya wazee wetu hakuna linalo shindikana Ila mwamba Magufuli atakua kapangulia gia angani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli mchungu huu.Chalinze ilikua na mama mbunge, mtoto mbunge na baba rais matatizo hayakuisha leo ndio yaje yaishe?
Ccm hata wakipewa hii nchi miaka 500 hakuna kitu watakachofanya cha maana kikaonekana.
Tuendelee kufanya uchaguzi kwa mazoea tu ila kitu kinaitwa maendeleo ni ndoto za alinacha.
kwan wamasai hawawezi kuwa dubai hahahahha ha ha ha ha ha eti chalinze iwe dubai wale wamasai angewapeleka wapi