Wengi wanamkubali Bob Marley ila Mfalme wa Reggae duniani ni Lucky Dube

1. Paragraph ya kwanza tu unaonekana hujui mambo ya kidunia. Aliyeuwawa ni Lucky Dube (kwa risasi) Bob alikufa tu kawaida kwa kansa iliyoanzia kwenye kidole chake cha mguu.
2. Huwezi mlinganisha Lucky Dube na mkongwe Bob. Lucky anaimba na vinanda sana (huwa tunasema nyimbo zake ni kama kwaya) Bob anaimba ile "Roots Rocky Reggae" yenyewe.
3. Kasikilize nyimbo za Bob kama "Jah live" "Jump Nyabinghi" "Roots Rock Reggae" "Chant Down Babylon" "Them Belly Fully" "Bad card" "Concrete Jungle" "Kaya" najua kwa uelewa wako umeishia zile nyimbo common kama "No woman no cry" "Africa Unite" "Zimbabwe"
4. Fanya hayo hapo juu No. 3 halafu uje ufute huu uzi wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushazisikiliza za dube...? Hatari sana mkuu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lucky dube n zaid ya Bob Marley
Ungekua msikilizaji mzuri wa reggae ungefahamu Bob Nesta Marley na Luck Dube wanapiga aina tofauti ya reggae nikiwa na maana Bob Marley alipiga Roots Reggae na Lucky Dube alipiga Sweet Reggae.

Katika tasnia ya muziki wa reggae inaonyesha tayari hivyo ni vionjo tofauti vya muziki.

Usifananishe Bob Marley na vitu vya kijinga kabisa

Nasisitiza Bob Marley mfananishe na kina Peter Tosh, Joseph hill, Israel Vibration ana Alpha Blondy halafu huyo Luck Dube mfananishe na kina kin Senzo.


Full Stop

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ki ukwel dube kwangu n legend Aisee nazielewa sana nyimbo zake
Haitoshi lazima aelekezwe ukweli, uwezi kumfananisha Dube na Marley kila mtu aliwika kwa zama zake na kila mtu ana vibes zake Bob ni mkubwa na Lucky ni mkubwa pia wote walifanya kazi nzuri kwenye ulimwengu wa reggae,
Lucky aliinogesha reggae na vionjo vya Africa, nampenda zaidi Dube ila ukweli Bob Marley ndo Mfalme wa reggae worldwid.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mziki wa dube una nafasi ya kuishi miaka 100 mbele kuliko wa bob.

leo hii hata ukikamata kijana wa miaka 18,hamjui bob ila dube anamjua,unajua kwanini!!!,mwamba aliimba nyimbo zinazoeleweka na watu wote.

hata baadae kuna uwezekano akaja kutambulika kama muasisi wa reggae kwa vizazi vijavyo,haitakuwa bahati mbaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
ushaanza kunitia mashaka na uwezo wako wa kufikiri ulichoandika hapo tayari nshakitolea majib asa cjui unauliza nn
low IQ huez huelewa mziki wa bob kamwe
sorry for dat

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyimbo za Dube zitaishi milele,zinaeleweka na watoto, vijana na wazee, bob ni kwa wale wanaijifanya wana high IQ na wanaojiita wanafalsafa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu kinaitwa "kujifanya" mzee .huwez linganisha robert nesta marley na yeyote yule.hata mjukuu wako akizaliwa miaka 70 baada ya leo akiambiwa reggae kitu cha kwanza kitakachomjia ni bob marley .that man is Reggae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Three little birds
Bad card
Coming from the cold
Redemption song
Crazy baldhead
Concrete jungle
Jamming.

Ukisikiliza midude hiyo lazima ukubali kuwa Bob hana mpinzan.

Lucky dube mweke na alpha blondy au hata na Jr gong(damian marley) wako level moja tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi unachekesha sana kila nikiusoma eti Mfalme wa Reggae DUNIANI ni Lucky Dube, lol

Sijui kwann watu wavivu kusoma hata historia tu.

Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
 
Hata RFA walipambanisha ila kwa ushamba wa wackilizaji wakampa ushindi luck dube, nilishangaa sana. Bob mwisho wa matatizo. Dube mtoto mdogo akalale.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani ile Jamaican English ni tatizo kwa wengi maana ile accent yao ni habari nyingine aisee.

Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
 
Hii thread imejaa vichekesho kibao, mi ndio maana nilisema hapo juu, kama hujui Reggae na Rasta nyamaza tu. Huko Duniani wakijua tunajadili hii kitu humu tunaweza kuchekwa watanzania wote. Yaani unamfananishaje Prophet na follower? Huu ni ukosefu wa adabu.
 
mziki wa bob unahitaji akili kubwa sana kuuelewa, ukiona mtu atambui bob n nan co kosa lake kosa ni low IQ iliyoshindwa kuelewa mafumbo na vitendawili vilivyopo kwny mziki wake
bob kaimba mziki ambao hata ipite karne ukiusikiliza unaona kabisa unareflect the real situation in a society
bob was a prophet asee
rip legend


Sent using Jamii Forums mobile app
100%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom