Malipo ya wema wangu

Ahahahah.Umenikumbusha mbali sana.Akina mama wa zaman walikua na maarifa mengi sana.
Hapo majani ya chai yameisha basi inakaangwa sukari kidogo.
Ahahahahahah
Umenikumbusha pia kuna majani fulani ya porini pia tulikuwa tunatumia kama majani ya chai.... siku moja majani yameisha nikaenda kuyachuma nikanywa chai nyingine nikabakisha kwenye sufuria, dada yangu akaikuta akaniuliza haya majani umechemsha ya nini nikamweleza matumizi yake hakuamini kaenda kumuuliza rafiki yake eti kweli haya ni majani ya chai? Akaambiwa ni majani ndio kwani we hujawahi kuyatumia? Alikuwa ameshafikiria makubwa sana
 
Mimi pia nilikuwa na bamkubwa kaka rafiki yangu so kusema baba yangu nilimaanisha bamkubwa, labda ningesema baba yangu mzazi hapo ningekuwa wrong.
Ukisema baba sio lazima uambatanishe na neno mzazi watu tunajua ni mzazi wako
 
Umenikumbusha kitu, Kuna jamaa alikuwa anaumwa aliomba msaada wa matibu kwa ndugu na jamaa hakuweza kujitokeza na kumsaidia, siku amefariki wale wale walioshinda kumsaidia wakajitokeza kutoa Rambirambi ndefu ambazo zingetolewa enzi za uhai wake angeweza kutibiwa na kupona.

Mimi ni mvivu wa kuandika lakini hii ni true story sio bongo muvi. Nikiruhusiwa nitaweka na ushahidi wote hapa hapa.
Huo ushahidi ukiruhusiwa na Nani ndio utauweka hapa?
 
sasa kunijali kunakujaje hapo? Kama ni abortion si ingekuwa umeshafanyika? Na yeye kweli hivi naweza kufanya huo utopolo halafu niache na ushahidi
Wajua yy ndio alikusoma na kujua kuwa ww unaweza fanya na ukaacha ushahid.
Si unakumbuka ule utopolo ulofanyaga enz ile alipofuata mshahara wilayan.Huku nyuma we ukala kumbikumbi nusu ufe sasa akahis huyu atakua kashayakoroga kama kawaida yake.
Ahahahahah
 
24 Reactions
Reply
Back
Top Bottom