I want some tips from you guys on how women entrepreneurs can promote gender mainstreaming in small business. I just want to write an article based on that. thanks in advance.
Wakubwa nafikiri niliwahi kuweka bandiko hapa kwawanaokumbuka wakati naenda kuanza chuo mwaka 2011.
Yaah namshukuru mungu mwakani naweza kugraduate na mimi nikachukua kadiploma kangu ka civil, sasa wadau naomba ushuri wenu kuhusu degree yangu nikasome nini, maana napenda nikasome civil tena, ila...
Wakubwa nafikiri niliwahi kuweka bandiko hapa kwawanaokumbuka wakati naenda kuanza chuo mwaka 2011.
Yaah namshukuru mungu mwakani naweza kugraduate na mimi nikachukua kadiploma kangu ka civil, sasa wadau naomba ushuri wenu kuhusu degree yangu nikasome nini, maana napenda nikasome civil tena, ila...
There is this Sperm named Zipo, Zipo is always doing exercise, running jogging and jumping and when its fellow sperms ask him why he always trains, he will simply tell them that he is doing it so that he can be able to outrun them and be the one to fertilize the egg any day the time comes.
A day...
Mimi ni () naishi mwenge Dar es salaam naomba utalifuta jina la baba yangu maana sitaki liwe kwenye blog watu watanijua na kuniangamiza maana nimeshawaangamiza wengi sana kwa UKIMWI ila mengine yote usifute hata moja ili dunia ijue tu japokua mimi nitakufa kwa huu ukimwi nilionao...
Ashakum si matusi ndugu zangu.
Nadhani wengi tunauzoefu na vyumba vingi vya vyoo dimension zake, Sasa assume chumba cha choo kingekuwa na ukubwa wa rumu yako unayolala, ungekuwa huru kujisaidia.??
Nawasalim ndugu zangu wote wa Jf wanaonifaham na wageni pia, namic sana topic na michango yenu. Kiukweli shule inabana lakini tuko pamoja jamani. HAPPY BOXING DAY...
Ikiwa wanafunzi waliofauru darasa lasaba na kujiunga na kidato chakwanza hawajui kusoma wala kuandika,
Je hao waliofeli hali itakuwaje???
Hii inaweza kuingia kwenye maajabu saba ya Afrika....
Ni swali ambalo wengi wetu tumelitumia/tunaendelea kulitumia tunapokuwa tunataka kuanzisha mahusiano.
Hebu kwa mtazamo wako na uzoefu wako itolee maelezo hii picha
Wengi tumekuwa tukisikia, kujaribu, kuona, kuwahi ama kushawishi kwa namna moja ama nyingine juu ya suala zima la kutoa mimba.
Kunamambo mengi yanayoweza kupelekea mtu akafikia uamuzi wakutoa mimba, kwa kuangalia hizo sababu zote zinazopelekea watu kutoa mimba tujadiliane kuhusu madhara...
Habari wana jf, naombeni msaada wenu katika hili...
Nilikuwa naomba kuuliza ni zipi dalili za awali za mtu alie pata mimba??
Lakin pia ningependa kujuzwa maumivu ya tumbo one day after having sex inaweza kuwa ni dalil yakuwa mtu umepata ujauzito?? Je mimba inachukua muda gan kujishkiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.