Salamu...

Salamu...

Mtalingolo

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2011
Posts
2,181
Reaction score
410
"SALAM kitu azizi katika hii dunia"
"SALAM hujenga penzi watu wakafurahia"
"SALAM yake mwenyezi waja twafuatilia"
"SALAM tokea enzi zama zilo tangulia"
"SALAM si upuuzi wahenga walitwambia"
"SALAM sio hirizi waganga kukupatia"
"SALAM sio kitanzi ikaweza kukuua"
"SALAM wala si tezi operesheni kutiwa"
"SALAM si ngumu kazi ushindwe kutumikia"
"SALAM ikiwa wazi thawabu hujivunia"
"Assalaamu alaykum"
. Wana JF....
 
Bwana Yesu asifiweeeee.
The unseen is illustrated by the seen.
 
Salam babu na bibi, salam bibi na babu
ni sisi wajukuu tunaofanya mpate tabu
maisha ya vijana wa leo ya ajabu ajabu
wengi ni wazinzi na wengi hawana adabu... Kwa hisani ya Prof. J
 
Salam babu na bibi, salam bibi na babu
ni sisi wajukuu tunaofanya mpate tabu
maisha ya vijana wa leo ya ajabu ajabu
wengi ni wazinzi na wengi hawana adabu... Kwa hisani ya Prof. J

Safi sana kiongozi...
 
Salamu ni tamu kama asali na inaweza kuwa chungu kama kwinini.
 
Back
Top Bottom