Thread 'Umewahi kutumia VFD yaani kutumia simu kutoa risiti za EFD? Tupe experience yako' Umewahi kutumia VFD yaani kutumia simu kutoa risiti za EFD? Tupe experience yako
VFD ni mfumo uliothibitishwa na TRA wa kutoa risiti za EFD kwa kutumia simu au kompyuta, huu mfumo ni Bora kabisa na rafiki kwa wafanyabiashara utakaokuwezesha kutoa risiti bila kikomo, Kupunguza garama kwa zaidi ya 50%, kutoa risiti za Softcopy na HARDCOPY, na sasa unaweza kutoa risiti ambayo...
Mamlaka ya mapato Tanzania TRA imetangaza kuanzia leo tarehe 1/5/2023 kuanza zoezi la ufuatiliaji katika Mikoa yote wasafirishaji wa vifurushi/ vipeto kuhakikisha wanatoa risiti za EFD kwa wateja wao.
Kumbuka: Ukikutwa haujatoa risiti adhabu yake ni kulipa faini kuanzia 3,000,000 hadi 4,000,000...
KAMA UNA BIASHARA YOYOTE, UNAWEZA KUPUNGUZA GHARAMA KWA KUTUMIA VFD.
HUU ni mfumo unaokuwezesha kutoa risiti halali za EFD kwa kutumia simu au computer popote ulipo,
Huu mfumo ni halali na umethibitishwa na TRA.
Sasa Tunapatikana Dar es salaam na Arusha, lakini tuna mawakala nchi nzima na...
KWA WASAMBAZAJI WA BIDHAA HII DIRM VFD INAWAFAA SANA.
Hii ni App au mfumo wa kutoa risiti za EFD kwa kutumia simu au Computer au vyote kwa pamoja, Ni rahisi, Haraka, halali na inafaa kwa biashara zote zilizosajiliwa kama kampuni, jina la biashara nk.
-sasa wale wenye biashara za kusambaza...
KWA WASAMBAZAJI WA BIDHAA HII DIRM VFD INAWAFAA SANA.
Hii ni App au mfumo wa kutoa risiti za EFD kwa kutumia simu au Computer au vyote kwa pamoja, Ni rahisi, Haraka, halali na inafaa kwa biashara zote zilizosajiliwa kama kampuni, jina la biashara nk.
-sasa wale wenye biashara za kusambaza...
Karibu tukupatie VFD kwa bei ya punguzo kwa mwezi huu wa kwanza (January 2023).
Bei ya kawaida ni 300,000/= ila kwa mwezi huu wa kwanza tutakuuzia 280,000/=
VFD ni mfumo unaokuwezesha kutoa risiti halali za EFD kwa kutumia simu au computer popote ulipo.
Huu mfumo ni halali na umethibitishwa na...
Kwa mtazamo wako huo huwezi kuishi kwemye ndoa na hauwezi kuishi na mtu yeyote. Ndoa mara nyingi zinawashinda walio na misingi mibaya ya malezi au wamelelewa vzuri tu ila wamekuja kubadilika ukubwani baada ya kukutana na watu wasio sahihi kwake.
Mkishafanya jitihada zote za kuolewa zikagonga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.