Attention! Wasafirishaji wa vifurushi vidogo kutoa risiti za EFD

Esokoni

Member
Aug 1, 2018
81
116
Mamlaka ya mapato Tanzania TRA imetangaza kuanzia leo tarehe 1/5/2023 kuanza zoezi la ufuatiliaji katika Mikoa yote wasafirishaji wa vifurushi/ vipeto kuhakikisha wanatoa risiti za EFD kwa wateja wao.

Kumbuka: Ukikutwa haujatoa risiti adhabu yake ni kulipa faini kuanzia 3,000,000 hadi 4,000,000 na ukikutwa haujadai risiti adhabu yake ni faini kuanzia 30,000 hadi 1,500,000.

Kwa wafanyabiashara unaweza kujipatia Mfumo wa VFD na mashine yake (Kutoa risiti kwa kutumia simu) kwa gharama ndogo sana ya 280,000 (unlimited ) maelezo zaidi piga/whtsp 0753688348

Screenshot_20230501-083259_Gallery.png

Screenshot_20230501-082635_Instagram.png
 
Bado tu akina mangi madukani kutupatia risiti kila tunaponunua kipande cha sabuni
 
Tra wao siku zote ni vitisho utasikia na zile gari zao zikipita mtaani vitisho vitisho. Hakuna elimu kuanzia digital hadi mtaani
 
Mamlaka ya mapato Tanzania TRA imetangaza kuanzia leo tarehe 1/5/2023 kuanza zoezi la ufuatiliaji katika Mikoa yote wasafirishaji wa vifurushi/ vipeto kuhakikisha wanatoa risiti za EFD kwa wateja wao.

Kumbuka: Ukikutwa haujatoa risiti adhabu yake ni kulipa faini kuanzia 3,000,000 hadi 4,000,000 na ukikutwa haujadai risiti adhabu yake ni faini kuanzia 30,000 hadi 1,500,000.

Kwa wafanyabiashara unaweza kujipatia Mfumo wa VFD na mashine yake (Kutoa risiti kwa kutumia simu) kwa gharama ndogo sana ya 280,000 (unlimited ) maelezo zaidi piga/whtsp 0753688348

View attachment 2605763
View attachment 2605764


Mfumo wa VFD ndio ukoje huo??, mifumo kibao!!😏
 
Mfumo wa VFD ndio ukoje huo??, mifumo kibao!!😏
VFD hiyo ni risit kwa njia ya Mobile APP. Yani wana install App kwa simu yako (ni kama App flan hivi ya shop management) ukifanya mauzo unaingiza kwenye simu yako then una issue TRA receipt. Sasa unaweza share hiyo receipt kwa njia ya email, whatsapp au uka i print kwa kutumia bluetooth printer (ambayo uta i connect na hiyo simu yako yenye hiyo App).

Unah
itaj uwe na bundle la Internent
 
VFD hiyo ni risit kwa njia ya Mobile APP. Yani wana install App kwa simu yako (ni kama App flan hivi ya shop management) ukifanya mauzo unaingiza kwenye simu yako then una issue TRA receipt. Sasa unaweza share hiyo receipt kwa njia ya email, whatsapp au uka i print kwa kutumia bluetooth printer (ambayo uta i connect na hiyo simu yako yenye hiyo App).

Unah
itaj uwe na bundle la Internent


Shukrani mkuu kwa kunipa darsa.
 
VFD hiyo ni risit kwa njia ya Mobile APP. Yani wana install App kwa simu yako (ni kama App flan hivi ya shop management) ukifanya mauzo unaingiza kwenye simu yako then una issue TRA receipt. Sasa unaweza share hiyo receipt kwa njia ya email, whatsapp au uka i print kwa kutumia bluetooth printer (ambayo uta i connect na hiyo simu yako yenye hiyo App).

Unah
itaj uwe na bundle la Internent


Could you p'se explain EFD na VFD ni short forms ya maneno gani??
 
Mamlaka ya mapato Tanzania TRA imetangaza kuanzia leo tarehe 1/5/2023 kuanza zoezi la ufuatiliaji katika Mikoa yote wasafirishaji wa vifurushi/ vipeto kuhakikisha wanatoa risiti za EFD kwa wateja wao.

Kumbuka: Ukikutwa haujatoa risiti adhabu yake ni kulipa faini kuanzia 3,000,000 hadi 4,000,000 na ukikutwa haujadai risiti adhabu yake ni faini kuanzia 30,000 hadi 1,500,000.

Kwa wafanyabiashara unaweza kujipatia Mfumo wa VFD na mashine yake (Kutoa risiti kwa kutumia simu) kwa gharama ndogo sana ya 280,000 (unlimited ) maelezo zaidi piga/whtsp 0753688348

View attachment 2605763
View attachment 2605764
Karibu tukuhudumie
0762038080
IMG_20230508_120302.jpg
 
Back
Top Bottom