shida ni kua kila mtu ana namna yake kuna anayeweza kukaa mwezi kuna mwingine siku tu hawezi kupitisha sembuse wiki na kuna mimi ambae sasa huu ni mwaka wa pili naenda wa 3 sijawahi kutana na mwanaume kwa hiyo majibu utayapata lkn ndio kwa kila mtu ka namna yake
jino kwa jino huwezi otesha mbegu shambani utegemee istawi bila kumwagilia maji au keweka mbolea sahau ukipanda mbegu itunze ili istawi vema ije ikupe mazo bora sio utegemee mazao bora pasipo kutunza haitoshi tu kumwaga mbegu shambani then uende alafu utegemee siku mmoja urudi ukavune unavuna...
kuna wakati sisi binadamu tunajikuta miungu watu hivi niulize vile umeona kibanzi kwenye jicho la mwingine vipi hiyo boriti iliyo kwenye jicho lako please itoe kwanza kabla hujaona kosa la mwingine ni vema ukaona kosa lako ni vile sisi hatukujui wewe ndio maana lakini yawezekana una magumu zaidi...
ungekaa kimya nakuhakikishia ingekuletea heshima zaidi kuliko ulivyoandika maana ukweli ni kuwa hakuna ambaye ni mtoto anayeenda kununua vile vitu ni watu wazima wenye akili zao na utashi na hawajalazimishwa na mtu yeyote wakati mwingine kabla hujaandika jambo jiulize mara mbilimbili hili...
Ila watanzania tu wanafiki sana na ni HERI MCHAWI KULIKO MNAFIKI. Tuache unafiki ukiona jambo ulitakalo haliendi mfuate yule unayejua anahusika mwambie rekebisha hapa habari za kutakamwenzio ashushwe pale alipo na unajua kabisa wewe uwezi kwenda kukaa hapo unafaidi nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.