Amigoh
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 2,036
- 2,944
Yani mnaojikutaga walokole huwa mnaroho mbaya sana.. mkuu mtoto ni baraka na kingine jifunze kuheshimu maisha binafsi ya mtu mwingineMtu mwenyewe cha pombe upo Bar umelewa unaona nyota tu, mambo ya maadili ya taifa kama katika uongozi utayaelewa vipi.
Tukisema tuanze kukaguana watoto wa nnje ya ndoa unaweza kuta hata wewe ni wa nnje ya ndoa mkuu
![](http://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji23.png)
![](http://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji23.png)
![](http://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji23.png)
Live your life.. kunastress nyingine ni za kujitafutia man