TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

Kama uliweka kichwa cha habari hukuweza kuelezea wasifu wa marehem kwa kiswahili ? Sisi wa tz bado sana.
Rais Magufuli ametangaza kwa masikitiko kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John William Kijazi ambaye amefariki leo Februari 17 saa tatu usiku, Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma akipatiwa matibabu.

View attachment 1705005

View attachment 1705003
Balozi John Kijazi enzi za uhai wake
WASIFU WA BALOZI JOHN KIJAZI > Wasifu wa Katibu Mkuu Kiongozi mpya Balozi Mhandisi John William Kijazi

CURRICULUM VITAE

NAME: John William Herbert Kijazi
BORN: 18 November 1956
MARITAL STATUS: Married
CHILDREN: Has three sons

EDUCATION
  • Bachelor of Science (Honours) in Civil Engineering, University of Dar es Salaam, Tanzania
  • Masters of Science in Highway Engineering, Birmingham University, UK
CAREER
  • 1982 – 1986 Assistant Executiver Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1986 – 1996 Regional Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1996 – 1999 Senior Road Maintenance Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1999 – 2002 Director of Regional Roads, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 2002 – 2005 Permanent Secretary, Ministry of Public Works, Tanzania
  • Jan – Nov 2006 Permanent Secretary, Ministry of Infrastructure Development, Tanzania
  • Dec 2006 – Jun 2007 Special Duties, Minstry of Foreign Affairs and International Cooperation HQTS, Tanzania
  • Jun 2007 High Commissioner to India
  • 27 May 2013 High Commissioner to Singapore
LANGUAGES
English, Swahili
 
dada matusi ya nini? ....... Swali liko pale pale,....je wanaovaa barakoa hawapati covid? je nchi zilizo impose lock down corona imekwisha?.... Je hizo nchi zinazodai kutengenaza chanjo corona kwao imekwisha?..........
Haya maswali ungeenda kuwauliza familia ya kijazi ingekuwa poa sana. Huku hutapata majibu sahihi
 
Mabeberu walisema mwaka jana kuwa itafikia wakati watu watachoka kwenda kuzika,sasa kipindi kinakaribia
Sisi hatusikilizi mabeberu, tunamsikiliza Mungu! Mungu anasema hivi, "kwa kupigwa kwake tumepona"!! Tuamini hivyo maana ndivyo ilivyo, tumepona!! Corona kwishney!!! Asiyetaka kuukubali ukweli huu wa ki-Mungu ajiandae kupokea matokeo yaliyo kinyume!!!!
 
Ikitokea ugonjwa unapita na familia kwann usitilie shaka..space ya mengi na ruge kufa ilichukua muda gani wewe sas leo 2 days 2 public figures kwann usiogope

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
speculation tu hao watu muda wao ulifika sema kwasababu ni kipindi cha corona basi kila mtu amekua msemaji wa serikali kuna watu wangapi sio maarufu leo wamekufa na hauja notisi
 
Sisi hatusikilizi mabeberu, tunamsikiliza Mungu! Mungu anasema hivi, "kwa kupigwa kwake tumepona"!! Tuamini hivyo maana ndivyo ilivyo, tumepona!! Corona kwishney!!! Asiyetaka kuukubali ukweli huu wa ki-Mungu ajiandae kupokea matokeo yaliyo kinyume!!!!
Hujakatazwa na yeyote wewe endelea na unavyojisikia kuamini
 
Awali ya kwanza ni kufuata maelekezo ya wataalamu na siyo wanasiasa, tufuate maelekezo ya Dr Fauci( daktari Mkuu wa Serikali) vaa barakoa, nawa mikono kila wakati, kaa mbali umbali wa mita mbili (social distancing) kwani Tanzania siyo Kisiwa! If you cannot trust God with your medicine you cannot trust God with your prayer since God is of nature!! Doctors treat God Heals!
Nimeipenda....

If you can't trust God with your medicine you can't trust God with your prayer.

Doctor treats.. God heals.
 
Awali ya kwanza ni kufuata maelekezo ya wataalamu na siyo wanasiasa, tufuate maelekezo ya Dr Fauci( daktari Mkuu wa Serikali) vaa barakoa, nawa mikono kila wakati, kaa mbali umbali wa mita mbili (social distancing) kwani Tanzania siyo Kisiwa! If you cannot trust God with your medicine you cannot trust God with your prayer since God is of nature!! Doctors treat God Heals!
If you cannot trust God with your medicine you cannot trust God with your prayer since God is of nature!! Doctors treat God Heals!
 
... ninyi hususan wewe si ndio mlikuwa mnabeza humu! Janga halibezwi ndugu; watu wanakufa halafu mnaleta maneno ya dharau humu? Eti kabla ya Corona watu walikuwa hawafi? Sasa imepiga penyewe; endeleeni na kebehi zenu!
Tumia akili basi badala hisia! Nimekupuuza! Usiniharibie kwaresma!
 
... akili kubwa ungekaririshwa kuleta ujinga humu? Corona ipo au haipo?
Naona unataka dudus km ilivyo ID yako!! Nani kasema hakuna corona, kaulize kwa mumeo. Au unawashwa kunahitaji dudu wew bibi
 
Naona unataka dudus km ilivyo ID yako!! Nani kasema hakuna corona, kaulize kwa mumeo. Au unawashwa kunahitaji dudu wew bibi
... mimi ndiye dudus; unahitaji nikucharaze? Endelea kuanika utupu wako; kiruka njia wewe.
 
Huyu naye, kwa nini corona tu, kwa nini usimtake rais wetu atangaze kuwa malaria ipo Tz na inaua kwa maelfu kama siyo mamilioni?
Corona corona, kichwa kama corona mfyuuuuuu!
Tulishaambiwa tuchukue hatua ya maombi, dua, na sala, pia tusisahau maelekezo yanayotolewa na wizara ya afya...sasa huyu sijui mkong. Man anamtakia nini sijui Magu wetu!
RIP balozi Kijazi, RIP wote mliotangulia mbele ya haki kwa njia mbalimbali!
Mungu azidi kumlinda kumuongoza na kumbariki rais wetu mpendwa Mh Dr JPM na serikali zetu zote! Mungu azidi ibariki Tanzania!
 
Kwani kuwaelimisha watu namna ya kujikinga na corona.Vaa barakoa,nawa kwa sabuni na maji tiririka ingeletaje tahahuri.Lakini sasa hivi ukiangalia channel nyingi hayo haya zungumzwi!
Hayo mambo unayoyasema ya kujikinga na corona yaliachwa kufanywa toka mwaka jana ila pamoja na hivyo bado corona ilipungua tukafanya hadi uchaguzi bila tahadhari zozote,na wakati wote huo majirani zetu wao walikuwa bado wanaendelea na mapambano ya corona kwa kuchukua tahadhari bila kuacha hadi sasa.
 
Back
Top Bottom