Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,642
- 28,658
We utanifundisha ubandidu sitakiBasi njoo nikutoe ushamba mgeni wetu
We utanifundisha ubandidu sitakiBasi njoo nikutoe ushamba mgeni wetu
Wala usifukirie hivyo bwanaWe utanifundisha ubandidu sitaki
Hongera. Hicho sio kitu kidogo.Walaa
Tena niko bomba kabisa
Hapo ukichukua charger unaweza kuchaji simu mwilini mwili tayari uweshakuwa power bankInategemea na mtu,na sababu ya kuacha kufanya,mfano mimi Nina mwaka mmoja Sasa sijakutana na mwanaume kimwili,sababu ya kuacha kufanya ni kusalitiwa vibaya na mtu niliyemwaminiso niliamua kuacha kabisa,so inawezekana hata miaka mitano
Wewe utakuwa unazalisha umeme kitaalamu tunaita body-electric power hiyo ni nzuriInategemea
Mfano mie nina mwaka nanusu now
Alaah kumbe!Wewe utakuwa unazalisha umeme kitaalamu tunaita body-electric power hiyo ni nzuri
Unaweza kukaza bila kunyenganaAlaah kumbe!
Uzuri wake nini sasa?
Unajua watu wa mitandaoni they are sexual vicious na they are driven by lust and sex mindset. Ukija kwa real life Kuna watu wanapita hata mwaka hawajagusa mwanamke au hawajaguswa kabisa na mwanaume. .
Hawa sexual maniacs they only care about sex, wakati others are making impact to the world and their lives. Life itself is bigger
sio matatizo kila kitu ukiamua kinawezekana shida tunaendekeza sana uzinzi mm huu ni mwaka wa pili na niko naishiSiamini mimi mwaka hapana labda unamatatizo wewe.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
shida ni kua kila mtu ana namna yake kuna anayeweza kukaa mwezi kuna mwingine siku tu hawezi kupitisha sembuse wiki na kuna mimi ambae sasa huu ni mwaka wa pili naenda wa 3 sijawahi kutana na mwanaume kwa hiyo majibu utayapata lkn ndio kwa kila mtu ka namna yakeKinachoniudhi ni kuwa waafrika ni wagumu sana kueleza ukweli wanapoulizwa jambo la muhimu kama hili, yaani hapa wanawake wengi wanasoma huu uzi ila wanaupita kimya kimya bila ya kujibu wakati hili jambo iwapo wanaume tutalijua basi itasaidia sana katika kuboresha ndoa kwa kuhakikisha wake zetu wanapata haki yao ya ndoa kikamilifu
waambieee kuna mambo mengi ya msingi yakuwazaacha uongo bwana kila mimba inakuja kwa style yake zingine hazitaki sex kabisa labda zako wewe, na pia tunakaa hata miaka bila sex hivi unafikiri wote tunawaza tu ngono mda wote?
Unachokitafuta itakipata.Mnawezaga kuvumilia kwa muda gan mkuu?? Hili swali hujajib
DuuhHii inategemea, kila mwanamke ana uvumilivu wake.
Mimi ninaweza kufikisha mwezi lakini Selfie itahusika tena kutwa mara tatu.
Bila selfie navumilia wiki.
Bab kubwa sana. Ukiweza shinda tamaa za mwili unaweza fanya mambo makubwa kwenye maisha yako na jamii kwa ujumla. Wanaondekeza ngono wanajaza dunia tu ila hawawezi fanya mambo makubwa kwenye huu ulimwengu. .sio matatizo kila kitu ukiamua kinawezekana shida tunaendekeza sana uzinzi mm huu ni mwaka wa pili na niko naishi
Kila kitu ni mindset tuu ,mi kuna mwaka niliwahi kaa miezi tisa bila kufanya mapenzi,wala kujichua.Ilifika wakati nkilala usiku nabutua mashuti na kumwaga wazungu kabisa.Soo inawezekana japo nligundua kuna mda unakua na mawenge flani flani ivi..Bila hata self ya Demi mkuu ??